Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

Huwa harembi huyu traffic

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Itakua alikua ni muhanga wa vyeti feki

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Anaitwa Ashrafu

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Yuko old bagamoyo kila siku nikitoka ununio lazima nimione

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Yupo njia ya Kawe ukifika pale Round about utamkuta asubuhi. Bado anafanya kazi yake kwa tabasamu na furaha kama vile maisha hayana mabonde na milima. Ni baadhi ya watumishi wachache ambao wanaipenda kazi yao hata kama ni ngumu ya kukaa juani. Hongereni askari wetu wote mlioko sehemu mbalimbali mkilinda mipaka ya nchi na sehemu nyingine lukuki.

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Hili ndo jibu sahihi
 
Akikuwepo mwenzake ubungo almaarufu mayenu nae sijui huko wapi jamani mnamkumbuka?

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Polisi wengi kupelekwa FFU wanaona ni kama adhabu
alipata matatizo ndie yule ambaye mwenzie aliuawa kwa risasi pale makutano ya Bagamoyo na barabara ya kuelekea RoseGarden kwenye kibanda walichokua wanapenda kukaa karibu na ofisi za zamani za airtel. Kuna version mbili za story, moja inasema wakati wamevamiwa na mtu aliyeshuka kwenye pikipiki, marehemu alishiriki kupigana, lakini marehemu alipowekwa chini na yeye kupata mwanya, alitoka bomba na kumuacha mwenzie aliyezidiwa na kuuawa. Lakini version nyingine inasema kuwa baada ya yule partner wake kufariki yeye anapitia wakati mgumu, shock ya kushuhudia mkasa mzima. Ila kwa sasa yuko barabara ya Bagamoyo ya Chini pale kwenye roundabout ya kawe, bado ni mzuri vile vile, sema hana space ya kufurahia mbwembwe zake. Hata mimi nampenda, na kwa kuwa ni kijana mdogo, i hope for whatever reason, atapatiwa tena nafasi inayomfaa hiyo ya sasa ni ndogo mno kwake, yule ni mzuri sana sioni hata kama anamori ya kusumbuana na watu kwa kuwasingizia ushuru, he has a big heart mungu amkumbuke
 
Jamaa yuko bomba sana mbwembwe za kutosha sijui kwanini wamempeleka round about ya kawe...
Lazima anajua anachokifanya hana wasiwasi na kazi yake

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
alipata matatizo ndie yule ambaye mwenzie aliuawa kwa risasi pale makutano ya Bagamoyo na barabara ya kuelekea RoseGarden kwenye kibanda walichokua wanapenda kukaa karibu na ofisi za zamani za airtel. Kuna version mbili za story, moja inasema wakati wamevamiwa na mtu aliyeshuka kwenye pikipiki, marehemu alishiriki kupigana, lakini marehemu alipowekwa chini na yeye kupata mwanya, alitoka bomba na kumuacha mwenzie aliyezidiwa na kuuawa. Lakini version nyingine inasema kuwa baada ya yule partner wake kufariki yeye anapitia wakati mgumu, shock ya kushuhudia mkasa mzima. Ila kwa sasa yuko barabara ya Bagamoyo ya Chini pale kwenye roundabout ya kawe, bado ni mzuri vile vile, sema hana space ya kufurahia mbwembwe zake. Hata mimi nampenda, na kwa kuwa ni kijana mdogo, i hope for whatever reason, atapatiwa tena nafasi inayomfaa hiyo ya sasa ni ndogo mno kwake, yule ni mzuri sana sioni hata kama anamori ya kusumbuana na watu kwa kuwasingizia ushuru, he has a big heart mungu amkumbuke
iyo itakuwa PTSD Post Trauma Stress Disorder
 
Waache traffic Light zifanye kazi watafutiwe kazi nyingine
 
Jamaa namkubali sana, nilimuona siku moja natoka Makongo naenda Ubungo.
Akikusimamisha anakuhoji huku anatabasamu, anaita magari kwa pozi very interesting.
 
Mlipomsfia ukute ndiyo ndo mlimuweka pabaya!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Yupo Kawe round about ya Maringo

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa. Hapo ndio namuona mara nyng nikitokaga ofisi.. Ila kule sijawah ina mbwembwe zake tena

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
 
Yupo njia ya Kawe ukifika pale Round about utamkuta asubuhi. Bado anafanya kazi yake kwa tabasamu na furaha kama vile maisha hayana mabonde na milima. Ni baadhi ya watumishi wachache ambao wanaipenda kazi yao hata kama ni ngumu ya kukaa juani. Hongereni askari wetu wote mlioko sehemu mbalimbali mkilinda mipaka ya nchi na sehemu nyingine lukuki.

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Hapokei rushwa na kulazimisha makosa ka ma mitrafic mingine yenye roho mbaya utafikiri imezaliwa chato
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom