Sasa ndio umeandika nini?
Unajua kuwa Sitti Mtemvu ni mwislamu?Au kudanganya kwake umri kunahusiana vipi na dini yake au na kule anakotoka?
GT wengine wa JF,ni wakuhurumiwa sana!!
Mkuu,
Mie hiyo mila ya mtu kulala na marehemu ili kutakasa huwa inanitisha na kunishangaza kuliko!
Hivi inawezekanaje mtu akalala kabisa na mfu? tena kama marehemu ni mwaname eti mwanamke anaweza kubeba mimba kabisa,na nasikia kuna majina maalum ya watoto wanaopatikana kwa njia hiyo...
Ha ha ha!
Nimekuelewa mkuu!
Ni ruksa sasa polisi kujamiiana kazini, makahaba wakae mkao wa kula kutoa services bureee!!
Huku pembeni wahalifu wakiendelea kuiba na kupora!
Mhh!
Sasa mapenzi yatafanyika mpaka lindoni!
Watanzania tujiandae kujilinda wenyewe dhidi ya wahalifu!
Na pia ukimkuta traffiki pale ubungo mataa anadendeka na mwenzie usipite mpaka amalize,ukipita ukagongwa una kosa kisheria la kutokumsubiria traffiki amalize "dharura" zake!!
Haloooooo!
Yaani Television ya Taifa(ITV),ionyeshe mapokezi ya katiba ya chama cha siasa!!?
Hata mimi ningeshangaa endapo kituo makini kingerusha maonyesho ya kipuuzi ya CCM!
Mkuu,
Naomba unifafanulie hapo kudogo!
Kwa hiyo waislamu wote ambao hawatakwenda hijja maisha yao yote ina maana watakufa bila kutubu dhambi zao na wala hawatapata nafasi ya kumpiga shetani mawe hivyo watakwenda jehanamu!!?
Unamaanisha hivyo au nimekupata vibaya!!?
Duh,
Badala ya ng`ombe kuzaa ndama,amezaa CHURA!!
Ndoto za katiba mpya chini ya Sitta zinayeyuka taraaaaatibu,huku wajumbe wakijisifia kwa kutengeneza ILANI YA CHAMA!
Mkuu,
Yaani nisome miaka;
7;primary
4;secondary
2;high school
5;university
Total;18
Halafu nije niendeshe BODABODA?
EXCUSE ME!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ndio hivyo mbona hao wanenu tuliosoma nao wanaajiriwa kwenye makampuni makubwa na kuendesha ma-range wakati walikuwa vilaza tu?
Mie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.