Imani hizi zinatupeleka wapi?

Imani hizi zinatupeleka wapi?

hayo ni mambo ya kimila zaidi, ila suala la nywele kwa mtoto mchanga kwa majibu ya mafundisho ya uislam zinapaswa kupimwa baada ya kuzinyoa na uzito wake unaufananisha na thamani ya dhahabu kwa wakati huo, basi ikiwa ni gram kadhaa utamtengenezea hereni akiwa mtoto mwanamke ikiwa mvulana thamani ya dhahabu ile unaitoa sadaka....

Dah... Kumbe kwenye haya madhehebu kuna vitu hivi?? Sijawahi kufikiria aiseee...
 
attachment.php

Chairman umeuaaaaaa......
 
Ukifuatilia mambo ya mila za watu utashangaa mambo mengi sana,
1.Wengine ile mila ya mke wa marehemu lazima afanye mapenzi na mwanaume wanaita kumtakasa(WAKURYA}.


2.Bint kabla hajaoelewa inatakiwa kwanza atembee na kaka yake(WAMBULU}.

Mkuu,

Mie hiyo mila ya mtu kulala na marehemu ili kutakasa huwa inanitisha na kunishangaza kuliko!

Hivi inawezekanaje mtu akalala kabisa na mfu? tena kama marehemu ni mwaname eti mwanamke anaweza kubeba mimba kabisa,na nasikia kuna majina maalum ya watoto wanaopatikana kwa njia hiyo!

Hii huwa inanishangaza sana!
 
Mkuu,

Mie hiyo mila ya mtu kulala na marehemu ili kutakasa huwa inanitisha na kunishangaza kuliko!

Hivi inawezekanaje mtu akalala kabisa na mfu? tena kama marehemu ni mwaname eti mwanamke anaweza kubeba mimba kabisa,na nasikia kuna majina maalum ya watoto wanaopatikana kwa njia hiyo!

Hii huwa inanishangaza sana!

Hii ndio balaa Sasa....
 
Back
Top Bottom