alikosea njia akifi,kiri kanisani ni hifadhi ya taifa, ingekuwa ruaha national park ningekuelewa mkuu, maana takwimu za taifa zinasema disign yake inakaribia kupotea nchini
CV ya kihuni iliyoandikwa na muhuni mwenzake, tunachotaka sisi ni O-level, alipata alama zipi na A-level alipata zipi, mbona mnyika kaeleza, au ana Gentleman bachelor degree aliyepata wakili wangu Ridhiwani kikwete. Hakika wasomi makanjanja
majitu yale yale, machumia tumbo ya Arusha mjini, amerudishiwa ubunge ndo mnaanza tena......mbinu zenu za kimagamba zimepitwa na wakati...........msomi usiyeeleweka, nyie ndio mnaenda kuchukua elimu na sio kusoma
hawa wachumia tumbo hamjaacha tu, arusha tunaijua sisi wala Dk hana sababu ya kuja kushughulikia mipasuko kimsingi njaa zenu zitawaua, milijpanga kugombea ubunge baada ya lema kuondolewa na mahakama sasa mmeshindwa mnakuja na hoja za viwanja. sahauni jimbo la arusha mjini, nyie nendeni kwa...
waliokuwa wanategemea kugombea ubunge arusha mjini kwa kumchafua lema wakachukue form. na wilioapa kwamba lema akishinda warudisha kadi za chadema wakati ndio huu. Chadema, Chadema, Chadema.....................Mungu ibariki Chadema
Ndugu zangu wana wa jamii forums, kwa moyo wa dhati na kwa nafasi kubwa kabisa ndani ya moyo yangu, nina kusudia kuandika machache kuhusu vijana na mabadiliko katika ulimwengu huu wa upya unaoendana na sayansi na teknologia nikilenga haswa kundi la vijana ambamo mimi ni miongoni mwao.
Nitaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.