nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
KOMRAD NAPE LIVE NA WANAHABARI MUDA HUU CCM LUMUMBA K/KOO. AWAJIBU CHADEMA..
."..siku saba walizonipa nyingi sana,ushahidi upo kwa kila nachosema...waende mahakamani leo wasisubiri siku saba....wakati huo huo wamsaidie mzee Slaa kuja na ushahidi mahakamani wakusema CCM IMEINGIZA SILAHA,TUNATAKA AJE AOMBE RADHI kwa njia ile ile na tutadai fidia bilion 3, na tayari wanasheria wameshaanza hatua"
ASANTENI.
My take.siasa ya tanzania imeharibika,kila mtu ni mbabe,wanaoumia ni wananchi.
NA kwa Midomo hiyo MWATAKA KUENDELEA KUTAWALA? NI DANGER!!!!