Jamani hivi hawa wabunge wetu wapo bungeni kwa maslai ya wananchi kweli? Au hawaisomagi sheria na miswada inayoletwa na serikali? maana wao kila kitu kikiletwa wanakubari tu wananchi tukipaza sauti zetu kisha serikali ikatusikia ikifanya marekebisho na wao wanapongeza tena mfano kwenye gharama...
Mie tofauti na nyie japo siabudu kwake
Mimi kama namuelewa vile
Mfano nimeangalia ile siku wanakabidhi ripoti ya uchaguzi mkuu nikaona karibu viongozi wakuu wote wamevaa barakoa na wao wote wamechanjwa
Ila nitoe tu rai wapendwa humu jamii forum kila mwanachama ana Uhuru wa kutoa hoja zake kama...
Pamoja na hayo yote ndugu zangu ila Mimi nasema ni bora hata huyo wananchi wake wanamuona kuna wakuu wa mikoa jamani hawaonekani kwa wananchi wala japo kusikiliza hata kero za wananchi huwaoni mfano Mimi nipo mkoa mmoja hivi huku kusini magharibi kama unaelekea Kigoma yani huyu mheshimiwa...
Wadau Mimi naomba nimpongeze sana tena sana,
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere, pamoja na ile staili yake ya kama komedy hivi nimempenda sana yule baba sababu ile inamfanya azoeleke sana na wananchi pia in raisi kujua shida za wananchi wake.
Ila kuna wakuu wa mikoa wapo hata sisi...
Jamani ivi hawa Tigo tuseme wanazijua namba za siri za Tigo pesa za wateja wao?
Maana kuna wakati wanatuambia tubadilishe namba za siri tuweke mpya tukianza na kampuni namba 0000
Haya tunaweka kisha tunaambiwa weka namba siri mpya sasa hapo ndipo shida inapoanza kwa maana ukiweka ile ya mwanzo...
Nadhani kuna wadau wataniunga mkono kwa hili
Vodacom mmezi na mameseji yenu ya promo yani nimejaribu kufuatilia mitandao yote lakini kwa vodacom mmezidi yote punguzeni jamani had I mda mwingine tuapuuzia kusoma meseji za maana kwa kudhani mmetuma nyie hizo za kwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.