Tatizo lolote ktk jamii,mara zote hutafutiwa njia mbadala ya kuondoa tatizo hilo.Hizi propaganda zinazoenezwa na polisi ni mchezo wa kuigiza tu,wenye dhamira ya aidha,kuwachafua zaidi waislam na kuwapachika ugaidi,na au kutaka kuhamisha mazingatio ya watu kutoka ktk suala la katiba mpya na...
Udhibiti wa watu wanaoingia na kutoka ktk sehemu maalum kama kambi za jeshi umekuwa dhaifu sana.Hali hii uwawezesha maadui na mawakala wao kuingia na hata kujipenyeza sehemu nyeti na kupata taarifa muhimu kwa urahisi na hivyo kuhatarisha usalama wa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.