CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,464
Dah nimekumbuka mbali sana. Msalimieni Tundui sijuo bado yupo.
Hamjaibiwa ninyi!! Maumivu yake ni makali sana. Usiku raia anasaka nini mabwenini?
Kijana hajawatoka bali mmemtoa na mkome kusema bwana alitoa na bwana ametwaa ila dhambi ya kuua iko pale pale maana amri ya Mungu ilisema tusiue na haikufafanua kuua kwa vipi. Hapo mseme bwana alitoa na nyie mmetwaa sio bwana ametwaa ila nawapa pole wanakijiji kwa kumpoteza kijana wao kabla hajampokea Yesu kama Bwana na Mokozi wa maisha yake. Kama alipata nafasi ya kutubu kabla hajakata roho ataenda mahali pema peponi.
Dah nimekumbuka mbali sana. Msalimieni Tundui sijuo bado yupo.
Ma ccm hayo
wanafunzi chuo kikuu mzumbe morogoro wamemuua mwanakijiji cha changarawe kijana anaekadiriwa kuwa na miaka 24 kwa tuhuma za wizi, kijana huyo ameuliwa jana majira ya usiku na wanafunzi katika maeneo ya bweni la kimweri na kibasila.
Hii ni mara ya pili ndani ya miezi isiyozidi mitatu kwa wanafunzi hao kuua raia ambao walishukiwa kujihusha na vitendo vya wizi wa mali za wanafunzi.
Ikumbukwe kuwa wanafunzi wa mzumbe baadhi tuko chuoni sasa katika semester yumbishi kutokana na chuo kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi.
Both Tunduis are there. They are all doctors now.
mimi nimesoma mzumbe... Kwa kweli wanakijiji wa pale ni wezi mno.....
Wameshawahi kuniibia nguo zangu zote nilizianika baada ya kufua
Hapa kinachozungumziwa ni kuchukua sheria mikononi huyo waliyemuua wamemkuta na kidhibiti chochote? Hivi Laptop ina thamani sawa na uhai wa mtu? Wewe kweli ni Editor au kanjanja? Unawa-support hao vilaza wa mzumbe kwa upumbavu waliofanya? Mie nishawahi ibiwa vitu vingi vyenye thamani lakini nimechakarika nimenunua vingine lakini siwezi kushiriki kuua mtuhumiwa kisa kapigiwa yowe la mwizi,vilaptop vyenyewe pentium ii.
Siungi mkono suala la kujichukulia sharia mikononi na kuua mtu. Ila kama jamaa alikuwa kibaka kweli basi yaliyomkuta ni 'occupational hazard'. Hawa jamaa wameibia sana wanafunzi pale kwenye kile chuo na walifikia hatua ya kupora kabisa hasa wadada! Yaani mtu anayeiba huwa simuelewi kabisa, mali ni yangu halafu unaninyang'ang'anya kinguvu huku unanidhuru? Nikikukuta unapigwa, sitashiriki kukupiga ila pia sitakutetea!