Rama mikidadi
New Member
- Aug 5, 2014
- 2
- 0
poleni wandugu sana kwa walio wafikaAskari watatu walio kwenye kikosi cha kulinda amani huko DRC Congo,wamekufa kwa ajali jana jioni'
=========================================
Chanzo: VOA
poleni wandugu sana kwa walio wafikaAskari watatu walio kwenye kikosi cha kulinda amani huko DRC Congo,wamekufa kwa ajali jana jioni'
=========================================
Chanzo: VOA
Itakuwaje ukimpoteza ndugu yako mmoja wa karibu huko DRC halafu akatakiwa ndugu yako mwingine wa karibu aende?Na sisi tuna interest zetu pale we unadhani uswahiba wa tz na us na uadui wa kagame na kikwete unatoka wapi? Kalagabaho! Enzi za mchonga tulikua tunajitolea then makamanda wanarud mikono mitupu nyumbani lkn sasa wapi. TUMESTUKAA!...na bado wakifa 3 tunapeleka wengine 20
Pole Sana makamanda wetu.Hope habari Kamili tutapata kutoka Ngome.Maana siku hizi huwa wanajibu yanayoandikwa kutoka kwenye social media
Itakuwaje ukimpoteza ndugu yako mmoja wa karibu huko DRC halafu akatakiwa ndugu yako mwingine wa karibu aende?
Majeshi ya UN yako Congo kulinda Interest za USA kwa miaka mingi... Wakongoma hawafaidi utajiri wa madini yao bali mateso na mauaji ya kila aina; mabomu, risasi za moto, magonjwa ya kuambukiza, njaa ... Is it Worth Majeshi yetu kutumika kwa niaba yao? Kagame alitumika baadae akaanza kujigawia mwenyewe! Walimtumia M7 nae akawa anajigawia madini ... sisi Kama kawaida yetu ni watu wa kutekeleza TORs za Wakubwa wa Dunia hii kwa ujira wa Mwiha... R.I.P Vijana wetu...
pole sana wanangugu
Kutokana na kauli za Josh Broomberg nachelea kusema;Majeshi ya UN yako Congo kulinda Interest za USA kwa miaka mingi... Wakongoma hawafaidi utajiri wa madini yao bali mateso na mauaji ya kila aina; mabomu, risasi za moto, magonjwa ya kuambukiza, njaa ... Is it Worth Majeshi yetu kutumika kwa niaba yao? Kagame alitumika baadae akaanza kujigawia mwenyewe! Walimtumia M7 nae akawa anajigawia madini ... sisi Kama kawaida yetu ni watu wa kutekeleza TORs za Wakubwa wa Dunia hii kwa ujira wa Mwiha... R.I.P Vijana wetu...
Ndugu yangu wewe umekariri tu,, kuna UN bili hapa,, kuna hawa ''wazungu'' na ''wazee wa kazi'' hawa wazee wa kazi ndo watanzania wako humo.. hawa ndo walio wafurusha m23 na wamesababisha hata ADF Nalu wanabwaga silaha chini na wale waasi wa rwada FDRL pia wanajisalimisha .... (nafikiri kwa hili hata Rwanda nae atapenda) Jeshi letu linaheshimika sana hapa DRC,, kwanza kwa heshima yao kwa wakongo lakini pia kwa weledi wao.... hawa hata wakipita mitaani watu hiuwashangilia ,, wakiitwa wakombozi.... ila wale wenzetu weupe huitwa wezi tu..... sis wakzi wa hapa heshima kubwa tumepewa na jeshi letu japo sisi hata kushika gobore hatujui na kwa kweli baadhi yetu ni marufuku kujihusisha na wanajeshi ,, lakini inside tunajivunia heshima wanayoionyesha na wanayopewa vijana wetu..... ni msiba mkubwa si kwa watz tu bali kwa wakongo pia
Hao askari weupe wa UN unaowaita wezi nchi zao ndiyo funders ya operationi inayoendeshwa na hao unaowaita 'wazee wa kazi'. Tunarudi pale pale kwamba under carpet askari wetu wapo pale kutumikia maslahi ya mataifa ya magharibi. Tusijidanganye ati vijana wetu wanaheshimika DRC. Tangu lini mtwana akawa na heshima mbele ya beberu?
Askari weupe wameshafanya risk analysis ya kutosha ndiyo maana hawaingii front line hasa maeneo yenye risk kubwa kubwa yenye mapigano ya weusi kwa weusi. Ikifikia hatua hiyo wanawatanguliza askari weusi ('wazee wa kazi') ili wakajifie kivyao. Jiulize iweje makampuni makubwa ya Marekani na Ufaransa yaendelee kuchimba madini bila kuvamiwa na hao intarahamwe miaka nenda rudi? Nani anawalinda? Makampuni ya kichina yanapasua magogo katika msitu wa Kongo bila kashkash yoyote, nani anawalinda? Hao hao funders wa 'wazee wa kazi' ndiyo wanaotoa ulinzi thabiti kwa makampuni ya kigeni na kuwaacha waafrika wakiuana wao kwa wao. Uhuni mtupu!
Hao askari weupe wa UN unaowaita wezi nchi zao ndiyo funders ya operationi inayoendeshwa na hao unaowaita 'wazee wa kazi'. Tunarudi pale pale kwamba under carpet askari wetu wapo pale kutumikia maslahi ya mataifa ya magharibi. Tusijidanganye ati vijana wetu wanaheshimika DRC. Tangu lini mtwana akawa na heshima mbele ya beberu?
Askari weupe wameshafanya risk analysis ya kutosha ndiyo maana hawaingii front line hasa maeneo yenye risk kubwa kubwa yenye mapigano ya weusi kwa weusi. Ikifikia hatua hiyo wanawatanguliza askari weusi ('wazee wa kazi') ili wakajifie kivyao. Jiulize iweje makampuni makubwa ya Marekani na Ufaransa yaendelee kuchimba madini bila kuvamiwa na hao intarahamwe miaka nenda rudi? Nani anawalinda? Makampuni ya kichina yanapasua magogo katika msitu wa Kongo bila kashkash yoyote, nani anawalinda? Hao hao funders wa 'wazee wa kazi' ndiyo wanaotoa ulinzi thabiti kwa makampuni ya kigeni na kuwaacha waafrika wakiuana wao kwa wao. Uhuni mtupu!
umeshawahi toka tanzania? au umekariri tu