Maneno yako haya hawa jamaa wa kijani wanaweza yachukuwa kama ajenda yao afu wakaitana na kuanzisha mchakato wa sheria ikawa kila sehemu inayofanya uchaguzi usimamiwe na NEC na ZEC...
Vichanga vinasumbua kiliwakati vinalia vinataka kunyonya, wanasiasa nao wanajenga hoja zisizo na majibu, mange kimambi nae usiseme alivyomkalia kooni, nyaraka sio mbili tu zipo zaidi ya mbili na zile za wachumi jee?
Vp kuhusu ras simba nae kwenye zile grammar?
Ukichukua hizi data na ukizifanya kwenye makweli na kuziamini sana zitakupeleka kusema baada ya miaka flani hivi nchini Tanzania kutakuwa na 99% ya wananchi wake watakuwa waathirika wa ugonjwa wa ukimwi.
Mwanahabari Huru Semakafu = sema cuf
Mjadala huu mimi kwa wizani wangu nahisi kumekuwa na mipango ya kuzuwia wimbi kubwa la watu wasipate elimu hii tunayoambiwa eti ni elimu bora. Kama mtu akiangalia muendelezo kutoka miaka ya 90s mpaka kipindi hichi na kuweza kuunganisha dots vizuri anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.