Mwanafuzikia maarufu aliyewahi kutokea Duniani anayeitwa Albert Eistein aliwahi kusema siku Teknolojia itakapopamba moto duniani,wajinga wengi wataongezeka ulimwenguni.Huenda alikua yupo sahihi huyu mwanafizikia.
Unaweza ukawa sahihi ila sheria za barabarani zinafanana karibu nchi zote tofauti huenda ni ndogo tu kama hasa nchi karibu zote zilizotawaliwa na muingereza wao ndiyo gari zao usukani upo kulia.na uendeshaji wao uingereza wapo kama tz.kwenye sheria sasa hapo ya kuipita gari cha kwanza anayetaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.