Recent content by DellaPina

  1. DellaPina

    Baada ya Yemen Sasa ni zamu ya viongozi wa Hamas huko Doha Qatar kuuawa!!

    Tofauti ya akili na ujinga,akili huwa ina kikomo lakini ujinga hauna kikomo.
  2. DellaPina

    Kuhusu kifo cha ghafla cha Bernard Membe, maelezo ya Humphrey Polepole yameacha maswali

    When a mission is completed,a dog must die.
  3. DellaPina

    Vyombo vya Habari vya Urusi vinadai Marekani hakuwahi kutua mwezini

    We choose go to the moon,mjadala huu tarehe 12 september 1962 na j.F.kennedy.kuficha ile aibu ya vietnam.ilikua Houston.Texas.
  4. DellaPina

    Kwanini Job Ndugai Wanalazimisha tumuite Hayati lakini Augustino Ramadhani wanataka tumuite Marehemu?

    Marehemu mara nyingi huwa akifa huacha madeni,Hayati akifa huwa anaacha mali.Tafuta hela ukija kuondoka kwenye hii dunia usije ukaambiwa umekufa..
  5. DellaPina

    Happy birthday Mawardat🥰

    Happy Birthday
  6. DellaPina

    Mapedeshe waliotamba

    Pedeshee Numbisa,mutu ya watu,baada ya Mungu ni wewe.ukipenda PdG
  7. DellaPina

    Uranium sio makaa ya mawe kwako mtawala

    Nauza Urenium iliyorutubishwa kwa kilo
  8. DellaPina

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Barcelona campione dell'mondo si inchina
  9. DellaPina

    Namtafuta mganga hodari atakayenifanyia dawa niwe na mvuto wa kimapenzi

    Mwanafuzikia maarufu aliyewahi kutokea Duniani anayeitwa Albert Eistein aliwahi kusema siku Teknolojia itakapopamba moto duniani,wajinga wengi wataongezeka ulimwenguni.Huenda alikua yupo sahihi huyu mwanafizikia.
  10. DellaPina

    Basi sawa, tuma salamu kwa watu wawili

    Dada yake nami [emoji8][emoji8][emoji8]
  11. DellaPina

    Dereva Gani ana makosa hapa?

    Unaweza ukawa sahihi ila sheria za barabarani zinafanana karibu nchi zote tofauti huenda ni ndogo tu kama hasa nchi karibu zote zilizotawaliwa na muingereza wao ndiyo gari zao usukani upo kulia.na uendeshaji wao uingereza wapo kama tz.kwenye sheria sasa hapo ya kuipita gari cha kwanza anayetaka...
Back
Top Bottom