Mbona kama ni kagenge ka watu kadhaa wakiongozwa na mchukua tukio watanzania akili zetu sijui ziko wapi hamna kazi ya kufanya camera yenyewe sijui mchina
Habarini wana jamvi nimekua mfuatiliaji sana wa mada za humu ndani mada nyingi ni kuuponda uongozi uliopo si vibaya kila kitu kina faida na hasara hata wewe pale nyumbani kwako kuna mambo kadhaa ambayo umekosea mengine umefanya vizuri.
Nirudi kwenye mada yangu au swali langu ukikaa ukatafakari...
jamaa unaota ndoto za mchana mnashinda kwa maneno badala ya vitendo na usione mtu kaja kwenye mkutano ukajua atakupigia kura mwingine kaja kumuona slaa au mboe tu
yaan mtu hata vikao vinaendelea amekunyima pesa huyo ni hatari na ndio tabia yake asikudanganye atabadilika oa
aliekusaidia huyo mwingine hafai kama upo anafanya hivyo ukiwa haupo si ataacha afe mchaga nn huyo dada
Chukulia ww ni kijana wa kiume ulikua na gf kama 4 hivi ila 1 hua anakutafuta mnapiga story na kujuliana hali hii inamaanisha nn alikupenda kweli au kawaida 2 na ameishaolewa na ww umeoa na ww hua haumtafuti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.