Kwa hili wamechemka.amna kesi ila kuna usufumbufu.Mungu amsaidie amekua icon ya ichii kwa muda mrefu na ametunga viziri.siku zote mtenda haki apotei.watu kama hawa ni zaidi ya kiwanda tuwalinde sana.
What is emegence.au mm si waelewi wachache wetu.inasikitisha kuona maamuzi ya haraka yanatafutiwa utaratibu .najiuliza why emegence.yaani nyumba inaungua na unaona dirishani ndo unaweza pita.we unang'an'gania kutumia utaratibu wa kupita mlangoni.hiyo ni akili?au matopeeeee.
Hivi kutawala kutaendelea milele? Au mi nnaona tofauti. Hivi saa hii nchi za watu si zinazidi kufikiria namna ya kuboresha makombora. Sasa sijaelewa ss tunaboresha nn mpaka sasa kila siku tunadidimia kifkra.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.