Hapo umenena kwani kama kipo polis na sometimes polisi wanahusika na matukio afu hao hai wanapewa kazi ya kujipeleleza hahaha uhalifu utaendelea kama kikiendelea kuwekwa kwenye jeshi la polisi Bora kitolewe na iwe taasisi ya kujitegemea
Si wanasema serikali haiamin uchawi kumbe ni msemo tyu ila inaamini ...serikali ni raia na bila raia hakuna serikali so usemi wa serikali haiamin uchawi na maneno tyu....raia hawaamin uchawi hahahhaahha
EMT,
Mpaka mtu anakufa mnaangalia tyu na hao punch ilikua sio kutangaza ni kufatilia chinichini na mkijiridhisha mnatia kiberit mmoja mmoja tyu mbna ingesambaa hiyo punch
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.