Mimi nina umri 27 rangi ya mwili maji ya kunde, mrefu wastani kazi yangu mtumishi wa serikali makazi kwa sasa nipo Sumbawanga Rukwa.
Nahitaji msichana mwenye upendo wa dhati na yuko tayari kuolewa pia awe na:
1.Umri 20>25
2.Mcha Mungu
3.Chocolate coular
4.Mpenda kazi
NB:Dini kabila tupa kule...
Mimi ni mwalimu daraja 3a nataman kupanua wigo wa elimu yangu lakini sijatimiza sharit la kupewa ruhusa kwenda kusoma.nimesikia kuna couse ya foundation ambayo naweza soma nipo kazin je cozi hii inatambulika na nacter?
Msaada wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.