Hata kwa hivyo ulivyowaza bado Adam walikufa siku ile ile maana hawakuishi miaka elfu moja na neno la Mungu linasema kwa Mung siku moja ni sawa na miaka elfu moja
Mi sio KKKT ni mrumi pure ila niseme tu kuwa kanisa kama kanisa halina shida kila kitu kiko wazi ila kama viongoz wakiamua kwa utashi wao kufanya hivyo haina maana ya kulilaumu kanisa wataulizwa wao acheni mengine yaendelee
Hata mim nilishakutana naye kupatana eti anauza tv na hometheater kwa 450000 na akasema yuko njombe ile kumfuatilia akataka nimtumie hela ili anifungie mzigo nikamwambia mi niko moro ila nitaenda mwenyewe njombe kesho yake akaanza danadana dk 2 nyingi akageuka mchochezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.