Kwa ufahamu wangu kuna watu wana nyota nzuri kali zenye nguvu kubwa na wengine wana nyota dhaifu na watu wengine wana mikosi, sasa ukienda kumlala mwenye nyota yake mbona kila ukifanyacho kitaenda utaaanza mpaka kuwatukana wenzako hawana mipango na ukimkuta mwenye nyota mbaya ama mikosi mbona...
Hiii biashara inafaida na ndio maana tunafanya cha msingi pata eneo zuri hasa lako mwenyewe mara nyingi duka likichanua vizuri wenye maeneo baadhi yao uanza visa wanataka wakutoe nawao wafanye biashara kama ni rahisi hivyo kama sehemu ya kupanga chukua mkataba wa muda mrefu ama panunue,kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.