Recent content by Dee_Aristotle

  1. D

    TV gani itanifaa kwa bajeti ya 500k

    Habari yenu wana jamii, naomba kupewa ushauri, nina bajeti ya 500k je ni TV gani nzuri ya brand ipi na ukubwa upi itanifaa kwa bajeti hii? Kwani siku hizi brand zimekuwa nyingi sana
  2. D

    Naomba ushauri juu ya brand bora ya magodoro 5x6

    Aiseeeeeee ushauri wako umenifaa mimi nimenunua QFL la foronya ya kuvua na kuvesha lipo vizuri sana. MUNGU akubariki sana .
  3. D

    Simu yangu inabadilisha SMS kuwa MMS

    Habari zenu wana jamii Naomba msaada tafadhali, simu yangu kila meseji ninayoituma hata ikiwa nataka kufowadi namba au meseji ndefu na fupi ina convert to MMS, nimehangaika nimeshindwa nimekuja hapa tusaidiane hili suala Natumia Samsung A02
  4. D

    Ni ushamba sana kutoka semina umebebelea kopo la maji uliyopewa kwenye semina, warsha nk

    Kwa nini tubebe maji baada ya semina kuisha? 1. Kunywa maji mengi na vinywaji vingine wakati wa semina kunaweza kukakuondolea utulivu wakati semina ikiendelea haja ndogo za hapa na pale haziishi. 2. Sio vizuri kunywa maji au vinywaji mara kwa mara ukiwa semina hiyo inaweza kukufanya ukaonekana...
  5. D

    Mambo ya kuzingatia wakati wa Kula chakula mkiwa jumuiya!

    What if chafya ikaja wakati wa kula?
  6. D

    Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

    Ngoja tuanze kuandaa primary sources za hii mada
  7. D

    Msaada kwa anayefahamu kuhusu kozi ya BA in Diplomatic and Military history

    Habari zenu wana JF. Pale UDSM kuna kozi inaitwa BA in Diplomatic and Military history, kwa anayefahamu naomba kujuzwa inahusiana na mambo gani?
  8. D

    Hongera serikali kusikia kilio cha tozo

    Sioni sababu ya kuipongeza serikali kwa lolote lile kwa kuwa hayo ni majukumu yake na yapo kikatiba ila wasipofanya ni lazima tuwaulize kwa kuwa watakua wanaikanyaga katiba yetu
  9. D

    Ni aibu gani uliipata kwenye Interview yako ya Kwanza? Mimi yangu hii

    Bright Future 😀 hiyo ni shule nzuri sana i used to be there mwaka mmoja.
  10. D

    The lady

    Karibu sana jisikie upo nyumbani.
  11. D

    Nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi au NGO Dar es Salaam

    Habari zenu wanajamii, Mimi ni kijana wa kitanzania, nina miaka 24, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Nimesomea shahada ya sanaa katika isimu na fasihi (Bachelor of Arts in linguistics and literature). Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi na computer applications. Natafuta nafasi ya...
  12. D

    Shukrani zangu za dhati kwa Wana JamiiForums, nimepona

    Haikuwa gono wala kaswende ni vipere tu mkuu
Back
Top Bottom