Recent content by Dee Mallz

  1. Dee Mallz

    Eti na sisi tulisoma

    Ila kina Lissu nao wana maswalii duuu Lissu:Umesoma Shahidi:Ndio Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria? Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!? Shahidi: Najua...Zipo kama tatu Lissu...
  2. Dee Mallz

    Usijiumize kichwa mkuu

    Nljifanya muaminifu
  3. Dee Mallz

    Usijiumize kichwa mkuu

    Inabd tu
  4. Dee Mallz

    Usijiumize kichwa mkuu

    HAPPY VALENTINE DAY Leo sasa kama hujawekwa profile picture usipaniki kunywa maji mengi nenda kukojoa[emoji23] ukikuta no call wala text kunywa maji mengi kakojoe[emoji23][emoji23] UKIZIMIWA CM KAMA MIMI usipaniki kunywa maji mengi kakojoe[emoji23][emoji23] ukimfumania leo mpenzio sepa...
  5. Dee Mallz

    Unashindwa kumuomba mume wako mzigo? Mwambie hivii...

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kalala hlf nimwambie tena aamke tulale... Can't b serious Lzm atanshangaa Km nashndwa mwambia naanza kumpapasa tu ataelewa Bby amka tulale[emoji3] [emoji3]
  6. Dee Mallz

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Hzo ni fikra zako tu wapo wengi sana wasiojua kupika hayo maandaz. Ucdhani kila anayeitwa mwanamke anaweza Fanya kaz zote za upishi. Ugali tu unaweza kumshnda sembuse maandaz. B serious aseee
  7. Dee Mallz

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Wao wameridhka. hawana shda ndo maana hawajali za wenzao
  8. Dee Mallz

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Bwana Yesu asifiwe
  9. Dee Mallz

    Tuombeane mafanikio

    Chukua na Voda kbsa [emoji18]
  10. Dee Mallz

    Tuombeane mafanikio

    Tutakulana
  11. Dee Mallz

    Tuombeane mafanikio

    Kumbe ndo wajua leo
  12. Dee Mallz

    Tuombeane mafanikio

    Nauli ninayo
  13. Dee Mallz

    UANAUME ni nini?!

    Uanaume ni pale unamwambia dem ako akushke tako mbele ya washkaji zako
Back
Top Bottom