Ila kina Lissu nao wana maswalii duuu
Lissu:Umesoma
Shahidi:Ndio
Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria?
Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics
Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!?
Shahidi: Najua...Zipo kama tatu
Lissu...
HAPPY VALENTINE DAY Leo sasa kama hujawekwa profile picture usipaniki kunywa maji mengi nenda kukojoa[emoji23] ukikuta no call wala text kunywa maji mengi kakojoe[emoji23][emoji23] UKIZIMIWA CM KAMA MIMI usipaniki kunywa maji mengi kakojoe[emoji23][emoji23] ukimfumania leo mpenzio sepa...
Hzo ni fikra zako tu wapo wengi sana wasiojua kupika hayo maandaz. Ucdhani kila anayeitwa mwanamke anaweza Fanya kaz zote za upishi. Ugali tu unaweza kumshnda sembuse maandaz. B serious aseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.