Asiwe kwa lipi?Bwana Yesu asifiwe
sasa hutaki kazi za ndani unataka za nje auHabarini wana JF. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21 Nina elimu ya kidato cha nne. Natafuta kazi yoyote iliyo ya halali. Ila sio kazi za ndani(house girl)
Asanteni
mara moja moja jamani kuweni serious..sasa hutaki kazi za ndani unataka za nje au
Hata kama hajui kupika maandazi?Unatafuta kazi ya nini, uza hiyo simu yako upate mtaji ukauze maandazi inalipa kuliko mshahara wa 300,000/- kwa mwezi
Hakuna mwanamke anayeshindwa kupika maandazi, vinginevyo anataka kitu kingineHata kama hajui kupika maandazi?
Hzo ni fikra zako tu wapo wengi sana wasiojua kupika hayo maandaz. Ucdhani kila anayeitwa mwanamke anaweza Fanya kaz zote za upishi. Ugali tu unaweza kumshnda sembuse maandaz. B serious aseeeHakuna mwanamke anayeshindwa kupika maandazi, vinginevyo anataka kitu kingine
Niunganishe mkuu namba hio 0769 269630kuna kazi kiwanda cha SAYONA kipo MWENGE ITV ni masaa 8 malipo 6500 kama uko tayari nikuunganishe
Kazi bado ipo?kuna kazi kiwanda cha SAYONA kipo MWENGE ITV ni masaa 8 malipo 6500 kama uko tayari nikuunganishe
nitakushtua mkuu japokuwa umechelewa ila upenyo ukipatikana ntakupgiaNiunganishe mkuu namba hio 0769 269630
mkuu nafasi huwa zinatokeaga mara kwa mara maana wengine tayari nishawaunganisha,ikitokea ntakuambiaKazi bado ipo?
Asante mkuunitakushtua mkuu japokuwa umechelewa ila upenyo ukipatikana ntakupgia
Mkuu niunganishe na mmkuna kazi kiwanda cha SAYONA kipo MWENGE ITV ni masaa 8 malipo 6500 kama uko tayari nikuunganishe
Sawa mkuumkuu nafasi huwa zinatokeaga mara kwa mara maana wengine tayari nishawaunganisha,ikitokea ntakuambia
mh agyUnatafuta kazi ya nini, uza hiyo simu yako upate mtaji ukauze maandazi inalipa kuliko mshahara wa 300,000/- kwa mwezi
Kweli kuna watu wanasomesha watoto shule nzuri za kulipia, wanajenga nyumba nzuri kwa kuuza maandazi na chapati tumh agy