Recent content by Dec

  1. D

    IGP Said Mwema kushitakiwa ICC

    Kama kawaida, nilikuwa napata masimulizi ya hapa na pale katika saluni – na nilisimuliwa jinsi mama daktari wa kujitolea mgiriki alivyofariki dunia, jijini Dar, chanzo na mtiririko wa matukio.Hii ni simulizi na si habari iliyothibitishwa. Kwa kifupi mama huyu mgiriki alikuwa anatembea Ali Hassan...
  2. D

    Taarifa ya Nchimbi kwa wanahabari

    Hii ndo barua ya waziri wa mambo ya ndani
  3. D

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    huyu ndo muuaji wa mwandishi wa habari mwangosi
  4. D

    Arumeru newz

    VIJANA WA KIMERU WAMEANZA KUKUSANYA KADI ZA WAZEE WAO NA KUZIFICHA KWA MADHUMUNI YA KUWAFANYA WAKOSE NAFASI YA KUICHAGUA CCM... Mwenyekiti wa serikari ya mtaa (sitaji) kwajina..(simtaji) amenidokeza kwamba amepokea kesi nyingi za wanachama wake za upotevu wa kadi zao za kupigia kura
  5. D

    Rais wa Maldives amejiuzulu!!

    Rais wa visiwa vya Maldives, Mohamed Nasheed, amejiuzulu hii leo (07.02.2012) baada ya vikosi vya polisi kuanzisha uasi kufuatia wiki tatu za maandamano ya upinzani unaodai kuachiwa huru rais wa mahakama ya jinai. Rais Mohammed Nasheed ametangaza uamuzi wake wa kujiuzulu wakati wa mkutano...
  6. D

    Rais wetu 2015 ni .....

    Samweli sita
  7. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    sipendi kusema maswala ya vyama. Huyu mama ndiye atakuwa mwanamke wakwanza kuitawala tanzania. Tutakuwa na historia nzuri ktk afrika.
  8. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    Naamini watanzania tunahitaji busara za wazee wetu wakina mama maria. Kwasababu yeye ndiye alikuwa mshauri mkubwa wa baba wa taifa mpaka tukawa pamoja.
  9. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    uraisi siyo kuwa na safari za ulaya bali ni kukaa kitako ktk kiti cha kifarume(kiraisi) then unatoa na kupokea mawazo ya washauri wako. Unawaunganisha wananchi wako kwa vitendo.
  10. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    Ikulu hawabebi zege nyinyi...alafu raisi siyo mtendaji bali ni mshauri tu. Ndomana kunakuwa na makatibu wakuu.
  11. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    Hii ndo itakuwa zawadi tosha kwake na kwa familia yake. Hapendi majigambo thats way hakujenga hata nyumba moja. Nyumba walizo nazo walijengewa bure na jeshi la kujenga taifa tanzania. Atawaunganisha upya watu wote wa mikoa ya arusha,kilimanjaro,mara,mwanza,kigoma,zanzibar.
  12. D

    Mama maria nyerere tunakuomba gombea uraisi tanzania

    Ndugu zangu napenda kuchukua nafasi hii kwa mtu yeyote aliye karibu na washauri wakuu wa mambo ya kisiasa hapa Tanzania afikishe ujumbe wangu kwa wahusika. Kwanin nasema mama Maria agombee? 1.watanzania wengi wanampenda kwasababu ya busara,utii,na eshima yake wakati wa uwongo zi wa baba wa...
  13. D

    Kutoka ITV: Mjadala kuhusu DOWANS; wachangiaji wataka maandamano nchi nzima

    Now ktk televisheni ya itv kunamjadara mkubwa sana juu ya richmond,nakushauri angalia mawazo ya wananchi ili umfikishie mshua.
  14. D

    Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

    Nimesikia viongozi wa ccm now wamekwenda igunga vijijini kufanya mipango ya kuiba kura.
  15. D

    Elections 2010 Igunga: Mwandishi wa Mtanzania atimuliwa na CCM na kutishwa

    Gazeti la mtanzania si lipo chini ya mafisadi.sa kwanin wafukuzwe? Pumbavu ccm wameanza kusahau gazeti lao. Mengine ni uhuru na mzalendo. Na televishen ni tbc na clouds.
Back
Top Bottom