Arumeru newz

Dec

Member
Jul 13, 2011
66
26
VIJANA WA KIMERU WAMEANZA KUKUSANYA KADI ZA WAZEE WAO NA KUZIFICHA KWA MADHUMUNI YA KUWAFANYA WAKOSE NAFASI YA KUICHAGUA CCM... Mwenyekiti wa serikari ya mtaa (sitaji) kwajina..(simtaji) amenidokeza kwamba amepokea kesi nyingi za wanachama wake za upotevu wa kadi zao za kupigia kura
 
Wizi uliobarikiwa: sababu hao wazee wanampango wa kupiga kura za kulipa fadhila za kanga na mashati ya kijani.
 
Big up vijana....lazima wazee wote washindwe kabisa kupiga kura ili mabadiliko yatokee...
 
VIJANA WA KIMERU WAMEANZA KUKUSANYA KADI ZA WAZEE WAO NA KUZIFICHA KWA MADHUMUNI YA KUWAFANYA WAKOSE NAFASI YA KUICHAGUA CCM... Mwenyekiti wa serikari ya mtaa (sitaji) kwajina..(simtaji) amenidokeza kwamba amepokea kesi nyingi za wanachama wake za upotevu wa kadi zao za kupigia kura

Hii haisaidii, kuku ameisha chinjwa tayari hivi sasa anatapa tapa kwa kukata roho, na huyo kuku ni cdm, baada ya hapo tunamla
 
Waliomuua Yesu walifanya kosa la kuua ila walitusaidia tuichungulie mbingu. HIVO NAWAPONGEZA SAAANA VIJANA KWA KUWANYANGANYA WAZEE MAANA NDO VIKWAZO WA MAENDELEO. HATA HIVO WANAYEMCHAGUA YAEZEKANA HATAWONGOZA. CCM inawatumia wazee's Ignorance kuwarubuni kwa tishet na kofia. HONGERENI KWA KOSA LENYE HERI.
 
Wazee wana haki ya kuchagua kama wameelimishwa faida ya kuchagua kwao.
Lakini kwa kuwa hawakuipata elimu hiyo ambayo ingewaletea faida ya kuchagua kwao, vijana waendelee na huo mkakati ili ukombozi upatikane. hiyo tunaweza kuiita kama mpango wa dharura, kwani kwa mpango wa muda mrefu itatakiwa wazee kuelimishwa ushiriki wao wa kupiga kura.
wazee tulionao kwa asilimia kubwa wamekuwa wakidanganywa kwa vitu vidogo, ama kutishiwa kwa uongo kuwa ccm ni chama kilicholeta uhuru, na kamwe wasithubutu kukipigia kura chama kingine.
Ukombozi wa kweli nchi hii haujawahi kupatikana, hivyo ni jukumu la vijana kuhakikisha ukombozi wa nchi hii unapatikana kwa gharama yoyote, maadam iwe ya amani. vile vile vijana wana jukumu kubwa sana kuwaelemisha wazee wetu katika kushiriki kwenye chaguzi zozote zile. kura moja ina thamani kubwa sana.
 
Aaakah; kwahiyo kumbe CDM ilikua hoi hadi iandaliwe techn hiyo wakati mnatujuza siku zote hapa kuwa ni tishio huko Arumeru?
~Kama sivyo basi kuna haja gani ya kuwanyima wazee haki yao ya msingi wakati kuna uhakika wa ushindi?

~Jingine kama mgonjwa kapata nafuu na anajiweza ya nini kumuwekea tena mashine ya Oxygen kwa ajili ya kupumulia?

Kimsingi kwa kufanya hivyo watakua hawanatofauti na wale wanao semekana kuwa wameongeza wapgakura pamoja na vituo vya kupigia kura jimbon hapo"

"Nawasilisha"
 
Hii haisaidii, kuku ameisha chinjwa tayari hivi sasa anatapa tapa kwa kukata roho, na huyo kuku ni cdm, baada ya hapo tunamla

Safari hii Mnaliwa Ninyi,Mnacheza na Sauti ya Umma nyie,Kamuulizeni Kuzimu Gadafi aliye waita Panya Raia wake matokeo yake yeye ndo akakutwa kwenye shimo kama Panya...
Kama unaona CDM ni kuku,subiri tukuonyeshe ni kwanini tunapokuwa tunaatamia Mayai huwa hatuigopi kitu, hata Moto tunaenda nao sawa...Magamba wewe...
 

Attachments

  • Brood-Hen.jpg
    Brood-Hen.jpg
    40.1 KB · Views: 70
Hii haisaidii, kuku ameisha chinjwa tayari hivi sasa anatapa tapa kwa kukata roho, na huyo kuku ni cdm, baada ya hapo tunamla

sikushangai ni ule ugonjwa wako umeamka tafadhali wahi Mawenzi kabla hujazidiwa!!
 
Hii haisaidii, kuku ameisha chinjwa tayari hivi sasa anatapa tapa kwa kukata roho, na huyo kuku ni cdm, baada ya hapo tunamla



Geniusbrain hakika unajitahidi sana katika kuwatetetea hao magamba. Nawashawishika kuamini kuwa wewe ni mmoja katu ya watu wachache ambao hawani huruma hata kidogo kwa watu maskini waishio Tanganyika. Malipo unayopewa na hao magamba yamekufanya usahau baba zako, mama zako, dada zako, Kaka zako wajomba zako, binamu zako, shangazi zako.

Naomba uelewe kuwa mapato hayo unayopata kuoka kwa magamba ni ya muda mupi sana (short term benefits income) na usije kushangaa hao magamba wakaja kukumwaga ukashindwa pa kukimbilia

Naomba uwaonee huruma watanganyi masikin japo kidogo waondoka na joka liitwalo CCM
 
Back
Top Bottom