Russia [emoji635] hapigani na Ukraine [emoji1255] only bali na mataifa ya ulaya plus USA [emoji631]
Jiulize misaada ya finance and silaha anazopata Ukraine kutoka mataifa ya ulaya na USA ni sawa na asilimia ngapi ya jeshi la marekani
Nilijiuliza kama ww ndugu.. Nani mnufaika haswa na mwathirika wa moja kwa moja wa haya maamuzi..
Viwanda vingi vya kimataifa vina branches kenya hii hupelekea makampuni mengi haswa makubwa kuagiza material hizo kwa dharula kutoka kenya sasa usikie kiwanda kama azania kimekosa sm enzymes za...
Najua kila mtu anatafuta kipato ila si sawa..mfano jiji la dar es salaam barabara ya uhuru kutok karume hadi kongo..inakuladhimu utembee ndani ya barabara sababu hifadhi ya kwenda kwa miguu hapapitiki kabisa
..ni sehemu hatari sana kwa waenda kwa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Incubation period ya virusi ni 14 days but mtu anaweza kuwa mgonjwa hata ndan ya siku mbili or laa depending with ur immune system pia na maradhi mengine uliyonayo mfano sukar. BP, Vascular disease n more.. Pia wapo waliopata will show only moderate symptoms na wengine kuwa wagonjwa mahututi...
Tujuzane best animated series hapa starting with
1. Bojack Horsemen
2. The Simpsons
3. Ricky and Morty
Tafadhali ongezea nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure n kabisa... Yani na anawezaje kuweka majina ya waunga mkono means waliotengeneza kuna watu wana watafuta....at least could use whatsapp call which is encrypted this is decorated
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.