mshana jrumenikumbusha mbali sana........nakumbuka miaka ya 80s ruti ya mbagala temeke kuna uda moja aina ya leyland ilikuwa inaendeshwa na mdada mmoja alikuwa si mchezo katika kupangua gia......long time duu....
Tunatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo.
1. Tutors-Basic/Technician Certificate in Pharmaceutical Sciences (NTA level 4 & 5 & 6)​
Place: Dar es salaam
Qualification; Degree in Pharmacy/ Diploma in Pharmaceutical Sciences
Deadline for Application: 18 Dec 2015
2. Tutors for...
Ninakunywa ila nimepunguza sana na ninaelekea kuacha kama wewe unavyodhamiria. Cha msingi ni wewe mwenyewe kuendelea na dhamira yako na kama umeoa mke wako ni muhimu sana kwani ana nafasi ya kukusaidia. Mimi nilikuwa nakunywa kuanzia asubuhi, na wakati mwingine nilikuwa naenda kazini nishapiga...
Sawa mkuu, kwa kuwa CDM ndio maboss wa jimbo na kauli mbiu yenu ni Elimu, na sisi Hapa ni kazi tuu, na kwa kuwa zote ni heri kwetu hakuna shida mkuu! ELIMU NA KAZI! ila Hapa kazi TUUUU
Nakubaliana na wewe kuwa hizi ni ngome zenu kisiasa kwa sasa ila CCM tukiwa na mikakati mizuri tutazivunja tu kama CDM inavyovunja za Kwetu, mfano Tanga Mjini.....ni mikakati tu, Ubungo tunapoteza kwa kurudia makosa yaleyale....ila pongezi CDM.....
Ki ukweli CCM ikiendelea kurudia makosa kama yanayofanyika kwenye jimbo la Kibamba na Ubungo, haya majimbo hatutayakomboa kirahisi. Toka tumenza kupoteza jimbo la Ubungo huko nyuma tatizo lilianzia kwenye kura za maoni kwani wanashinda watu kwa nguvu ya pesa na ambao si chaguo la wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.