Recent content by DAWA YA SIKIO

  1. DAWA YA SIKIO

    God vs satan

    Am for God.
  2. DAWA YA SIKIO

    Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

    R.I.P Geez Mabovu.
  3. DAWA YA SIKIO

    Mwimbaji wa Twanga Pepeta, Amigolas afariki Dunia

    R.I.P Amigolas. Poleni wafiwa wote.
  4. DAWA YA SIKIO

    2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

    Kulikuwa watangazaji superstars wa music,kama Master T (Taji Lihundi) na Mike Mhagama, radio bomba ilikuwa Radio One.
  5. DAWA YA SIKIO

    2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

    Plus ; Blenda, Dear mama... acha kabisa,nakumbuka nilivyotoroka home Ukonga hadi Lang'ata club kinondoni, kwenye tamasha maalum la kifo chake.
  6. DAWA YA SIKIO

    Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

    R.I.P Ben Kiko.
  7. DAWA YA SIKIO

    C.E.O & Founder wa Jamiiforums, Maxence Melo apata mtoto wa kiume

    Hongera Melo. U a Warmly Welcome Milo Gio.
  8. DAWA YA SIKIO

    Kwa wenye magari binafsi piteni hapa

    Hizi post zenu za usiku wa manane muwe mnazipitia asubuhi kuzifanyia editting bhana. Mnaumiza vichwa vyetu.
  9. DAWA YA SIKIO

    Ujumbe wa Jane wa Mwenge kwa mlio lala nae

    Ametolewa mapepo mangapi vileee ?! Lakini bado analo pepo la uongo. Aseme labda ukimwi aliupata kabla ya huyo x bf wake ataeleweka. Ama aseme aliamua kutudanganya na pepo hilo aliosalia nalo..EVEN DNA PCR CAN NEVER DO THAT PERFECTLY. MT TAKE:Ndugu anza ARV. Tumia maarfa ambayo Mungu ametupa...
  10. DAWA YA SIKIO

    Msaada: Nimetumia dakika 5 kumtambua ndugu yangu wa karibu

    Hujapotezana nae unaishi nae hapohapo,sema kumbukumbu zilikurudia ghafla then zikapotea tena.
  11. DAWA YA SIKIO

    Msaada: Nimetumia dakika 5 kumtambua ndugu yangu wa karibu

    Hujapotezana nae unaishi nae hapohapo,sema kumbukumbu zilikurudia ghafla then zikapotea tena.
  12. DAWA YA SIKIO

    Mimi na yeye

    Ha ha ha nasikiaga yanalipukaga hayo.
  13. DAWA YA SIKIO

    Huyu mwanafunzi kaonewa...

    Ha ha ha
Back
Top Bottom