Kwa maoni yangu operations za kuondoa machinga zimepitiliza japo msingi wake wake ulikuwa mzuri tu kupanga miji visuri.
Hakuna haja ya kuondoa machinga wote mji mzima iliapaswa kuishia maeneno ya katikati tu ya mji. Kwa mfano kwa mwanza sioni ulazima wa kuondoa wamachinga hafi maeneo ya...
Juzi alikuwa anafanya mikutano anashikana mikono kwenye shwrehe ya bawacha leo anasema tena wasifike kwenye msiba coz ya coranona mbona hii ni double standard
Leo mnalilia msaada je mnakumbuka kwenye kusitishwa kwa pesa za maendeleo kutoka marekan kwajiri ya millennium goals mlisema CCM hamuhitaji misaada na tujiendeshe wenyewe mbona vigeugeu
Naona nawe unashabikia kuficha siri yaani kuficha tatizo na sio kutatua tatizo asset za Tanzania sio siri ya Tanzania dunia nzima inajua nchi ikienda kukopa lazima iorodheshe Mali zangu world Bank wanajua Mali za tz ziko wapi unataka kumlaumu tundu Lisu kwa hilo. Je huo ni uzalendo kuwa mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.