Wewe ZK tunashindwa kukuelewa..! kawaida yako ni kuanzisha Hoja na kuziacha hewani.
Umetwambia mishahara ya hao viongozi Waziri Mkuu na Sasa Rais..tumejua sasa the way forward..?
Ulikuja na kelele za mabilioni Uswisi ikawa kimya hatuskii ukiongelea hilo..
hiyo ni ndo publicity stunt..unataka...
CNN hapa saizi wametoa habari ya Acid attack kwa hao mabinti huko Zanzibar wanarudishwa nyumbani..
JK na watu wake wa usalama waamke sio ishara nzuri hata kidogo..
Ogopa sana watu wanakulia na kushindia muhogo kuanzia utotoni mpaka uzeeni...mana muhogo una sumu flani ambayo inaathiri ubongo..ndio maana watu wa pwani wote wana shida..fuatilia utanambia. halafu linganisha mla muhogo na mla ngano..
Hongera bwana Mwigulu,...una hoja nzuri.
ingekuwa kila siku mnakaa na kufikiria vitu vizuri hakika tungekuwa mbali. Sio kila siku mnakuja na hoja za kuhangaika na CHADEMA na vipngozi wake tuuu. Fanya kitu kizuri utaonekana, na ujitahidi kuinasua CCM na wanaCCM na janga hili la kutofikiria...
tutofautishe barabara ya kutua ndege na uwanja wa ndege...je uwo uwanja una navigation beacons(VOR, NDB, ILS etc)..
maana sio kupiga kelele kuwa ni international airport bila kujua criteria...
Zito amejichafua mwenyewe sio amechafuliwa..
Mbowe na Slaa wapo busy na kutengeneza chama,...sasa mda wa kuanza msafisha mtu ambaye anayataka mwenyewe ni kupoteza mda...
Ivo basi ajisafishe mwenyewe kama alivojichafua...usisumbue watu..
umenifurahisha sana baada ya kuwa na kichefuchefu cha haya matamshi ya Machemba....
Kweli wengine wanakuwa na chenji ya pombe na usingizi....ukichukulia jana ni mwaka mpya..tena hata hakulala kabisa inawezekana..
Chadema hata hapo Ikwiriri tu mnashindwa kufika...umbali wa hata km 100 kutoka dar makao makuu haufiki..
kweli mmelala usingizi...
je sisi wa huku Ikola,Karema si itakua shida.
Mie nmesoma SUA..na amenifundisha hiyo WLM...hata simkubali huyo prof wenu..
Anavisasi...,anajiona anajua sana,..anapendelea wanawake,..na mwisho kabisa anapendelea ndugu zake kutoka mkoa wa Mara.
Ni mtu wa hovyo kiujumla..
Hapo mtu wa maana ni Prof tu.
Wakristo kila siku mtaishia kulalaika..ilianza Zanzibar...sasa mawekuja bara...
kila siku itakuwa "mungu awasaidie" na kufanya maombi maana kiburi chote kinatoka kwa huyu mkuu wa nchi..ananyamaza kila matukio yanapotokea kana kwamba hayupo..
Tuamke...itafikia sasa watakuja watoa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.