Recent content by DAVID KING

  1. D

    Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

    Hongera brother zito nakumbuka mwaka 2007 kwenye operation sangara ulizunguka kanda ya ziwa peke yako
  2. D

    Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

    Zito kabwe ni kijana makini,mwajibikaji na mahiri lakini jamani hawa wanasiasa tunatakiwa kuwa makini nao namwamini sana huyu kijana lakini sio kwa asilimia zote coz siasa za nchi yetu hazitabiliki....wananchi tunahitaji mabadiliko lakini wanasiasa wetu hawayataki haya mabadiliko coz...
  3. D

    Dk. Slaa alipua ufisadi mkubwa; ataka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka

    "THE FUTURE IS DARK ONLY THE BRIGHTY BRAIN WILL SURVIVE,,," kwa sasa wanasiasa wanajifanya "brighty brain" wana-survive kupitia mgongo wa ila ipo siku watanzania wasiojua jinsi wanasiasa wanavyowatumia vibaya lakini ipo siku watanzania watasimama kwa mshikamano ndipo wanasiasa watakuwa na adabu...
  4. D

    Dk. Slaa alipua ufisadi mkubwa; ataka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka

    Tanzania kwa ujumla inaonewa sana na wanasiasa kwa kuwadanganya wananchi,kuwalaghai,kuwafitinisha na kuyumbisha mfumo mzima wa kufikikilia tu kulingana uelewa mdogo wa kwa sababu tu watu waliosoma ni wachache,,,,,lakini ipo siku watanzania wataamka na kusimama na msimamo mmoja na hakuna...
  5. D

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Haki siku zote haipotei hao maboya wa ccm leo hawalali wala kula na pia nawapa msisitizo makamanda hizo pesa za fidia wapewe zote mapema iwezekanayo
  6. D

    Hii katuni ya Kikwete vipi?

    Tutafika tu japo tutakuwa tumechoka sana
  7. D

    Kumbadiri rafiki kuwa mpenzi wako.

    Jembe komaa nae huyo mwanamke tu panga hotuba inayoeweka kisha mfate naamini ataingia mkenge tu
  8. D

    CCM washambulia msafara wa CHADEMA, wampiga Mwandishi wa Habari, wakimnyang'anya kamera

    The more dayz goes the more CCM shows its way to grave
  9. D

    Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

    Exactly bro even me don trust dr.ulimboka anymore kanywea si mateso yamempa funzo coz naona nae amegeuka kuwa kama wanasiasa eti atasema mbona hasemi?????
  10. D

    Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

    Jamani msikilizeni Dr.anasemaje kuhusu ukimya wake yawezekana kweli kazbwa au la????????
Back
Top Bottom