MWEKEZAJI wa Simba,
Mohamed Dewji amesema
watapeleka maombi yao
Shirikisho la Soka nchini ili
kununua timu ya daraja la
kwanza. Timu hiyo itakuwa na wachezaji
wanaotoka timu yao ya vijana ya
Simba na endapo watakubaliwa
watakuwa na timu itakayoitwa
Simba lakini ikishiriki Ligi Daraja la
Kwanza...
Aliyekuwa beki wa Simba SC Zana
Coulibaly amewasili katika uwanja
wa ndege wa N'Dijili uliyopo Congo
Kinshasa kwa ajili ya kukamilisha
usajili wake na club ya AS Vita ya
Congo, Zana aliachana na Simba SC kwa makubaliano ya pande zote
mbili #MillardAyoSPORTS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.