Online Comedy bora kabisa kwa sasa hapa Bongo

Online Comedy bora kabisa kwa sasa hapa Bongo

Ha haaa...yote kwa yote Okar martin na mwenzie ni mafundi sana, kuna ile anamwelekeza mzee kuchezea pad, mzee kichwa ngumu kumuelewa dogo, dogo si akamtia banzi la kisogo mzee..ha ha haaa
Bwana mjeshi na Mr beneficial wapo vzur pia, Jaymond some tyme anazingua ila yupo poa
 
Aisee kwa sasa kuna online comedy nyingi hapa bongo, zingine miyeyusho ila zingine wanajitahd..kwa mtazamo wangu zifuatazo ndo bora kabisa kukuondolea stress ya maisha Magumu

1.Joti
2.Oka-Martin
3.Anko zumo &Mai zumo
3.Mr Beneficial & Bwana Mjeshi
4.Jay mond
5.Babu K
6.Claim tz
7.Ebitoke
8.
9.
10.
Kupitia hzi comedy sku yangu huwa inaenda mbashara sana
Idris Sultan naye nimchekeshaji naulizia tuuu?
 
kuna chalii mmoja anajiita @zack_Morris / zack teja mzee wa nyokolinyo huyo dogo ni habari nyengine. naona ndo mpinzani wa dullvan, character ya dullvan ni demu wa kishua ila character ya huyu chalii ni demu wa uswazini Tandale OG
 
Anaboa kichizi na ndio maana show yake ipo tbc upuuzi mtupu sijui hata anachekesha kitu gani yule ni Mc maswala ya comedy hayawezi
kuna yule mc pilipili sijawahi kumwelewa,,,,et ni mchekeshaji cha ajab yy ndo huwaga anacheka badala ya sisi wachekeshwaji kucheka,nadhani yule hujichekesha mwenyewe
 
Unaanzaje kumuacha king mwalubadu kupe kupe bibamba. Au uko upinzani nini mkuu??
Aisee kwa sasa kuna online comedy nyingi hapa bongo, zingine miyeyusho ila zingine wanajitahd..kwa mtazamo wangu zifuatazo ndo bora kabisa kukuondolea stress ya maisha Magumu

1.Joti
2.Oka-Martin
3.Anko zumo &Mai zumo
3.Mr Beneficial & Bwana Mjeshi
4.Jay mond
5.Babu K
6.Claim tz
7.Ebitoke
8.
9.
10.
Kupitia hzi comedy sku yangu huwa inaenda mbashara sana
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Unaanzaje kumuacha king mwalubadu kupe kupe bibamba. Au uko upinzani nini mkuu??
Jamaa uwa ananikelaaaa ila sichokiii kumuangaliaaa na nimeturn on notification zake ...
 
3. Wanaitwa JAMBO NA VIJAMBO sema Saivi Wamepotea Ila nawaona Azam Kule Wanaingiza Saut Kwa Kiswahil Kweny Tamthiliya na Muvii
Manofu
 
3. Wanaitwa JAMBO NA VIJAMBO sema Saivi Wamepotea Ila nawaona Azam Kule Wanaingiza Saut Kwa Kiswahil Kweny Tamthiliya na Muvii
 
3. Wanaitwa JAMBO NA VIJAMBO sema Saivi Wamepotea Ila nawaona Azam Kule Wanaingiza Saut Kwa Kiswahil Kweny Tamthiliya na Muvii
Oh, kumbe wako Azam wanafanya yao upande wa sauti?
Vizuri...
 
Back
Top Bottom