Recent content by DAUDI S KIPANDE

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

    Neno mungu katika maandiko linarejerea mtu au kitu chenye nguvu 2 wakorintho 4:4 kwa hiyo ukisema yesu ni mungu maana yake ana nguvu ila si za kumzidi baba yake (yehova) kwahyo kwa maneno mengine uungu/mungu ni majina ya cheo tu.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kinywaji gani ukinywa unasikia koo limeshukuru!

    Pepsi
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

    Kwakua umeswma huiamin biblia basi hatuwez kukujibu tena ila kwa ufupi mungu ana jina na anataka tumwabudu na tunavyomwabudu tunampa sifa kwa wale wanaomzuhakimfano mzur ni kisa cha ayubu , uvumilivu na ustahimilivu ulimletea sifa mungu kwamba kuna binadamu wanao weza kumtegea hata wapatwe na nini
  4. D

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio ninapokuwa na walakini na uwepo wa Mungu

    Mungu si mtawala wa ii dunia ndiomana dunia imekua na vita, njaa, vifo pamoja na magonjwa 1 Yohana 5:9
  5. D

    JamiiForums Tanzania Hakuna na hakutatokea ngoma Kali ya Hip Hop ya kushirikiana hapa Tanzania na Afrika Mashariki kuizidi MTAZAMO

    Classic material ya unju, fid q,one the incredible,
  6. D

    JamiiForums Tanzania Mungu sio mwema

    1 yohana 5:19 tunatokana na mungu lakini ilimwengu wote upo chini ya nguvu za yule muovu,. Kwahiyo tunapitia magumu sababu mtawala wetu ni muovu.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

    Je! unaambini biblia ni neno la mungu?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

    Je unaiamini biblia kama kitabu cha mungu??
  9. D

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    msaada kuhusu tatizo la miguu kuvimba na kuuma pamoja na mgongo
  10. D

    JamiiForums Tanzania Picha: Kuna dawa ipi nzuri ya kusahau haraka?

    muda
  11. D

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya uhakiki wa cheti cha kifo

    habari zenu wana JF Nombeni msaada. Nashindwa kuhakiki cheti changu kila nkifika hatua ya kuweka document inanambia niweke tena, msaada kwa anaejua shuda hii.
Back
Top Bottom