Msaada juu ya uhakiki wa cheti cha kifo

Msaada juu ya uhakiki wa cheti cha kifo

Joined
Aug 17, 2017
Posts
45
Reaction score
17
habari zenu wana JF

Nombeni msaada.

Nashindwa kuhakiki cheti changu kila nkifika hatua ya kuweka document inanambia niweke tena, msaada kwa anaejua shuda hii.
Screenshot_20230816-192213.jpg
 
Iyooo attachment kama imeiscan na simu ni ngumu kukubali sababu file size linazid system setup Yao nenda stationary wakiscan chet Iko afu wakiweke kwenye cm yako kama pdf file ama vinginevyo ambapo itakuwa around 500kb au chini kidogo yake ukiattach itakubalii
 
Iyooo attachment kama imeiscan na simu ni ngumu kukubali sababu file size linazid system setup Yao nenda stationary wakiscan chet Iko afu wakiweke kwenye cm yako kama pdf file ama vinginevyo ambapo itakuwa around 500kb au chini kidogo yake ukiattach itakubalii
Me nmescania stationary mbona inakataa

Inaandika can't save progress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe ni kwa sababu umefanya attempt nyingi lakini hiyo sio sababu kwa upande wa uhakiki wa vyeti vya kifo system Yao Iko slow na poorsana better ukawasiliana nao if possible.TATIZO LIMEANZA SOME FEW DAYS AGO.
Naomba niscreenshotie mawasiliano yao mana hata sion
 
Back
Top Bottom