Kama kuna wanaopata na wasiopata kwanini wasizifute kabisa, wizara ya hovyo sana hii, Kuna jamaa yangu aliniambia zinalipwa Kwa asilimia 15 ya mshahara wa mhusika. Ila kama Kwa mfano ulianza kazi mwaka 2006 Posho zako miaka yote zitabaki za mshahara wa huo mwaka haijalishi mshahara umepanda Kwa...
Yeah uko sahihi kaka, ni kama ilivyo Kwa wasimbiti, Wairegi, wangoreme, wakenye, warenchoka, watimbaru, wanyabasi ni miongoni mwa Koo/vikabila vidogovidogo vinavyounda kabila moja kubwa la kikurua.
Kwa hiyo unatuaminisha kwamba 1-3 Wana teknolojia ya wa kulipua makombora 50 yakirushwa?? Elimu ya bongo ni mwenye uwezo wa kukariri ndo anafaulu braza ukijibu kwa ufahamu unafeli. Kuna watu wamesoma hadi PhD lakini ni weupe hamna kitu zaidi ya karatasi la Cheti. Na kama ishu ni hayo makaratasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.