Wakuu
Nimekuwa nikitafuta kujua ni kingamuzi gani kitaonesha fifa world cup 2022 ili nikinunue kwa sasa na matumizi ya badae
Dstv hapana, sababu sitaweza kumudu kile kifurushi kikubwa chenye epl na uefa hivyo kitakuwa pambo tu
Kama sihitaji kuwasiliana na mtu huwa najiamini sana, naweka simu silence ukipiga sipokei na nikapokea hata kwa bahati mbaya nakata, pia sms sijibu sio wasap wala za kawaida
Hii naweza ifanya hata mwezi mzima na siku nikirejea katika hali ya kawaida hakuna mtu nitamuelezea sababu na ndiyo maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.