Recent content by Darmian

  1. Darmian

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hakuna kitu kama hicho..akifanya yeye na nikajua..usiku huohuo anaondoka
  2. Darmian

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hahaha..JF bhana Mkuu nishaacha hizo mambo kitambo sana
  3. Darmian

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Ni kutest tu ladha mpya..nothing else sasa inanilazimu nituli..japokuwa nisingefanya zembe,lazima kujikinga.
  4. Darmian

    Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Ilikuwa nikamenye leo..imebidi nisingizie nimepata dharura.. Ngoja tutulie tu na wake zetu.
  5. Darmian

    Ndoa nzuri ni ambayo mke na mume hushinda wote kwenye utafutaji na kurudi pamoja nyumbani

    Kwani unadhani mke au girlfriend hawezi kukukadiria maisha yako na akajua huyu mtu anapata kiasi gani kwa kuangalia maisha unayoishi na vitu unavyomiliki?..leave aside ubahili.
  6. Darmian

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Wewe ndo yule mchungaji wa kule Rukwa uliyeombea zile 146m za yule wakala?
  7. Darmian

    Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Awe bikra asiwe bikra..what matters the most ni feelings..kama kweli anakupenda na unaona..vuta chuma kula maisha.. Wewe sio wa kwanza kuoa asiye na bikra na hautakuwa wa mwisho.
  8. Darmian

    Je, WAVUVI CAMP hii aibu kwa jamii wanayofanya mchana kweupe wapo juu ya Sheria?

    Ngoja nivune hizi mbaazi zangu niuze nije huko daslama
  9. Darmian

    PostGE2025 Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar December 2 imeshaharibika. Gen Z watibua kila kitu

    Kwani huoni watu wakiomba serikali ya mpito then katiba mpya..au hiyo katiba mpya itaoa
  10. Darmian

    PostGE2025 Dkt. Mwigulu kukagua uharibifu uliosababishwa na vurugu za Oktoba 29 mkoani Arusha

    Kodi zetu zinachezewa sana..hili ni jambo la Waziri Mkuu kwenda kuliangalia??..
  11. Darmian

    PostGE2025 Video yaibuliwa ikionyesha miili ya watu waliouawa wakati wa maandano ikiwa imetapakaa mochwari ya Hospitali ya Mwananyamala

    My weekend ruined.. Nijidunge tu alcohol nilale..ndugu zetu wameuwa kinyama sana and some people wanaona normal tu kuda
Back
Top Bottom