Recent content by Darmian

  1. Darmian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechoka kukimbizana na wanawake, ni process inayokula nishati na mentallity yangu, nifanyeje kuikamilisha hatua hii ?

    Uliposema anal ndo nikabaki kinywa wazi.. Tutoke huko..hakuna lolote la maana zaidi ya kupoteza nguvu na hela
  2. Darmian

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu

    Ngoja niendelee kula zangu bia tu hapa Jojoz nyasaka..
  3. Darmian

    JamiiForums Tanzania Aliyetumia router ya halotel aje atupe mrejesho kuhusu ufanisi wake

    So ikikaa juu zaidi ndo ne
  4. Darmian

    JamiiForums Tanzania Upo na stress ukiwa wapi? Au una enjoy ukiwa wapi?

    Siku kumi na nane tu mkuu unalia..utatoboa
  5. Darmian

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hakuna kitu kama hicho..akifanya yeye na nikajua..usiku huohuo anaondoka
  6. Darmian

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Hahaha..JF bhana Mkuu nishaacha hizo mambo kitambo sana
  7. Darmian

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Ni kutest tu ladha mpya..nothing else sasa inanilazimu nituli..japokuwa nisingefanya zembe,lazima kujikinga.
  8. Darmian

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

    Ilikuwa nikamenye leo..imebidi nisingizie nimepata dharura.. Ngoja tutulie tu na wake zetu.
  9. Darmian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa nzuri ni ambayo mke na mume hushinda wote kwenye utafutaji na kurudi pamoja nyumbani

    Kwani unadhani mke au girlfriend hawezi kukukadiria maisha yako na akajua huyu mtu anapata kiasi gani kwa kuangalia maisha unayoishi na vitu unavyomiliki?..leave aside ubahili.
  10. Darmian

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Wewe ndo yule mchungaji wa kule Rukwa uliyeombea zile 146m za yule wakala?
  11. Darmian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa nzuri ni ambayo mke na mume hushinda wote kwenye utafutaji na kurudi pamoja nyumbani

    Kwanini? Dadavua
  12. Darmian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Awe bikra asiwe bikra..what matters the most ni feelings..kama kweli anakupenda na unaona..vuta chuma kula maisha.. Wewe sio wa kwanza kuoa asiye na bikra na hautakuwa wa mwisho.
  13. Darmian

    JamiiForums Tanzania Je, WAVUVI CAMP hii aibu kwa jamii wanayofanya mchana kweupe wapo juu ya Sheria?

    Ngoja nivune hizi mbaazi zangu niuze nije huko daslama
Back
Top Bottom