Kwani unadhani mke au girlfriend hawezi kukukadiria maisha yako na akajua huyu mtu anapata kiasi gani kwa kuangalia maisha unayoishi na vitu unavyomiliki?..leave aside ubahili.
Awe bikra asiwe bikra..what matters the most ni feelings..kama kweli anakupenda na unaona..vuta chuma kula maisha..
Wewe sio wa kwanza kuoa asiye na bikra na hautakuwa wa mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.