Recent content by Darius RR

  1. D

    Collaboration bora zaidi za Bongo Fleva

    Una psychological problems. Jitafakari.
  2. D

    Mbinu "copies" za mchezo wa drafti la Tanzania

    Huu ndo uzuri wa game hii, pimbi anajiita fundi.
  3. D

    Wanafizikia nisaidieni NECTA FORM 2, 2019 kuna swali lenye majibu ya kipuuzi

    Darasa la kwanza mpaka la tano; 3 - 7 = haiwezekani. Kila kitu na level yake.
  4. D

    Wanaofanya vetting ya viongozi nao wafanyiwe vetting

    Hahaha, Popoma wewe ni think tank, sema una kiburi cha ujuvi.
  5. D

    Video ya mtu aliyedhaniwa ni Meena Ally imesambaa mitandaoni. Meena Ally akanusha asema si yeye

    Noma sana, kuna kazi nimefanya naye mwaka jana, ni mtu powa sana huyu dada. I hope atavuka katika kipindi hiki kigumu.
  6. D

    Hivi wanaume wenye maumbile madogo ya sehemu za siri, yanawafanya mkose kujiamini katika mapenzi?

    Hii ni sehemu ya maandishi yako kwenye thread uliyosema hutakiwi kuzidi miaka miwili kwenye uchumba
  7. D

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Hongera kwa jamaa kurudi. Ushauri wangu; hakikisha unaliwakilisha taifa vizuri ili iwe njia kwa mabinti wengine wa Kitanzania. Kwenye mpira, michezo mingine, uchumi, elimu kote tumefeli, tunaomba kwenye hilo utuwakilishe vilivyo.
  8. D

    Nafasi ya kazi ya kumhudumia mtu mwenye mahitaji maalum

    Yeye anatakiwa awe na kilo ngapi?
  9. D

    Dogo sisco ashindanishwe na Yasini kwenye draft

    Kusonya sonya siyo tabia za kiume.
  10. D

    Dogo sisco ashindanishwe na Yasini kwenye draft

    Yes, mimi pia kuna muda naangalizia game pale.
  11. D

    Dogo sisco ashindanishwe na Yasini kwenye draft

    Pembeni ya gorofa wanaloonyesha mpira au siyo?
Back
Top Bottom