Inashangaza kuona chama cha magamba kilipodanganya juu ya uanzishwaji wa mahakama ya kadhi wakati wa ahadi zake za uchaguzi na mwezi uliopita serikali imesema kuwa mahakama ya kadhi haitaanzishwa na serikali,,hao wanaojiita viongozi wa dini na wanazuoni walikua wamekaa kimya..lwala...
Lakini mbona wakati ccm ilipohaidi mahakama ya kadhi na baadaye kiongozi wa nchi kusema kuwa mahakama ya kadhi haitaanzishwa na serikali ,,,Hatukusikia hao viongozi wa dini waseme kuwa waislamu wamedhalilishwa na wasipigie kura ccm
Inashangza kuona chama cha magamba kilipodanganya juu ya uanzishwaji wa mahakama ya kadhi na mwezi uliopita serikali imesema kuwa mahakama ya kadhi haitaanzishwa na serikali,,hao wanaojiita viongozi wa dini na wanazuoni walikua wamekaa kimya..lwala hawakusema kua tusikipigie kura chama cha...
Inashangza kuona chama cha magamba kilipodanganya juu ya uanzishwaji wa mahakama ya kadhi na mwezi uliopita serikali imesema kuwa mahakama ya kadhi haitaanzishwa na serikali,,hao wanaojiita viongozi wa dini na wanazuoni walikua wamekaa kimya..lwala hawakusema kua tusikipigie kura chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.