Recent content by Dar Brother

  1. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Dr Magufuli, Ethics & The Inevitable Scrutiny Triggered by The New Wave of Politics: The Internet

    Tz politics there are 2 groups. ..those followers of logic and followers of masses. And this 2nd group is very unpredictable they mayvbe truly known 1hr b4 voting time.
  2. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Picha:Zanzibar hali ilikuwa tete baada ya mji huo kukumbwa na mafuriko ya Mh.Lowasa!!

    Hapa ndio kipimo cha demokrasia, Tanzania ijue macho ya walimwengu yapo kwetu kipindi hiki kujua utashi wetu wa demokrasia na utekelezaji wake. Watawala watambue hili.
  3. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Siasa Uchwara: Sumu za Ukabila

    (Copy n paste from Whats app group) Naandika waraka huu uwaendee makada na wafitini walioko CCM. Wanatunga fitna kuwa CHADEMA ni chama cha ukabila na cha watu wa kaskazini...Huu ni upuuzi mtupu usiokua na hoja ya msingi. Hivi mm na ww tuulizane kipindi ww na mm tupo shule hapa naamanisha wale...
  4. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Uandikishaji wa vitambulisho vya mpiga kura, Wahamiaji haramu 2040 wabainika

    Hii nchi Uhamiaji wanachangamoto sana. Kuna hawa watu wanaoitwa Expatriates ...mikataba yao ni 2 yrs lakin kuna ambao wapo hapa 4 more than 10 years doing same things....while post hizo wabongo tunazimudu. Ufanisi uko wapi hapa....nahisi rushwa ni chanzo
  5. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi nyumba kama hii inaweza gharimu Shilingi ngapi?

    Mjengo umekaa poa... Hii garama nakubaliana na 250m-300m
  6. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    :what:
  7. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Mchango mzuri ila hii mbinu hata house girls wanazo....tupia mbinu za akili...za madada wenye hadhi yako wanavyofanya.
  8. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Hahahaaaa!! Na Zawadi kwa wakwe...mixa gunia la mchele, Kitenge....hapo utamweleza nn bi mkubwa ukimwacha huyo binti??
  9. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Nimesomea umeme wa majumbani natafuta kazi ya kuajiriwa

    Mtaji sio pesa tu: Haya kupunguza wingi wa maneno chukua neno la kishujaa hili. Hapo mtaani kwako unapoishi naamini kuna banda za Tgo/Mpesa nyingi tu....oky take a move zoeana na mwenye biashara anzisha uswahiba then hiyo mishen ikikamilika andaa bango linalo-sate " Fundi umeme anapatikana hapa"...
  10. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Aiseee hii mpya
  11. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Aisee.....hii mpya?
  12. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    Main mission ni CCM out. Hizo nyingine ni minor kwa sasa so UKAWA wametumia opportunity iliyokua mbele yao kuongeza wafuasi...hayo mengine baadae...swala la kuwa makini ni EL asibebe uenyekiti wa chama
  13. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Kuna zile mbinu mtoto mlifahamiana night club lakin gafla mabadiliko xxL mara anaimba kwaya....fellowship hakosi...mara na yeye shabiki wa mpira ...huja kaa sawa anakua mwepesi kukuomba msamaha hata kama wewe ndio unakosa...fasta ameshajishusha....geto wkend hakosi dk 0 ameashafua nguo zote...
  14. Dar Brother

    JamiiForums Tanzania Lowassa umekuja CHADEMA kwa nia ya Urais au uliipenda CHADEMA kabla?

    Kuna watu vichwa panzi kweli wanahoji vitu kwa ushabiki wa hali ya juu. Think out of the box fella. Kuhama kwa Ndg. EL na kugombea uraisi CDM inaonyesha ukomavu kisiasa. Kwanza inaprove haki ya mwanachama ndani ya CDM kuwa bila kujali muda wako kwebye chama bac wote mna hadhi moja. 2. Inaonyesha...
  15. Dar Brother

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Na wewe una mtazamo hasi kama ID yako. Ufanisi wa Lugha umeingiaje hapo?? Tafsiri yako haijajibu swali....rejea swali ujibu kama huna la kuchangia "shut up" ( sauti ya Lowasa )
Back
Top Bottom