Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

eeh ii cjawai kusikia kabisa hata kwa wazee wa enzi hizo, mkioana kwa techniques mtaachana kwa technigues ivoivo. ko ukiona MTU anakuwekea vimitego vya wewe kumkubali kumuoa bila matakwa yako mkimbie mapema!
 
Mbinu ni nyingi tu japo sio lazma zifanikiwe pia
kuna kuacha kitu kimoja kimoja leo pichu, kesho kanga, nguo hatimae zubeda yote unaibwaga geto
kuna kubeba mimba japo hii ni risk sana make kuna kutelekezwa don't try it at home
kuna kujihamishia ukweni kama umekatika mshipa wa aibu lakini na una roho jiwe
kuna kumhonga honga mwanaume pia hii rushwa ya ndoa risk pia make waweza honga kumbe nae anaenda kuhonga
 
Mbinu ni nyingi tu japo sio lazma zifanikiwe pia
kuna kuacha kitu kimoja kimoja leo pichu, kesho kanga, nguo hatimae zubeda yote unaibwaga geto
kuna kubeba mimba japo hii ni risk sana make kuna kutelekezwa don't try at home
kuna kujihamishia ukweni kama umekatika mshipa wa aibu lakini na una roho jiwe
kuna kumhonga honga mwanaume pia hii rushwa ya ndoa risk pia make waweza honga kumbe nae anaenda kuhonga

naona best
 
wa kwangu nae alikuwa na akili km ya mleta mada,aliamini kuwa ushawishi wa mimba ungepelekea nifanye uamzi wa haraka kumuoa,nilichomweleza ni 1.km ilikuwa ni dhamira yake kuwa na mtoto wangu haina neno
2.km anaona atamudu gharama za mimba hadi hapo tutakapopima dna na kuthibitisha kuwa ni wangu(maana aliwahi kunicheat hapo awali)
3.ndoa itafanyika pale tu na mimi nitapojiridhisha kuwa sasa anafaa kuwa mke wngu.
baada ya muda alinambia hakuwa na mimba ila alikuwa akinisikilizia tu.
"na mimi naendelea kumsikilizia"
 
Nijuavyo mimi atakuwa anakushawishi kwa tabia na matendo yake ikiwemo kujitahidi kuendana na yale unayopendezwa nayo na kuyaacha usiyoyapenda wewe mwanaume as long wanasema "NDEGE WAFANANAO HURUKA PAMOJA"
 
Alivyosema Kaboom nakubaliana nayo sitilii shaka mtazamo wake.
Ila naamini mabinti wanateknik zao kutushika tuweze kuingia kifungoni mapema.
Hizo ndio nataka kuzijua
Khaa!! bana hata Kiswahili hujui? Kuna kuoa na kuolewa. Anayeanzisha huo mkataba basi ujue anataka kuoa. na anayekubali huo mkataba ujue amekubali kuolewa. Sasa ni uamuzi wako mwenyewe kama uoe au uolewe Full stop:glasses-nerdy:
 
ndoa hailazimishwi. Ndoa is something which comes automatically. Utalazimisha harusi lakini si ndoa. Ndoa ya kulazimisha ni ndoano. Lazima utateseka tu

Bulaza Bujibuji sijakuona humu kitambo kweli.
Swalama lakini?
Hivi ndoa yako iko swalama lakini?
Karibu UKAWA
 
Last edited by a moderator:
Khaa!! bana hata Kiswahili hujui? Kuna kuoa na kuolewa. Anayeanzisha huo mkataba basi ujue anataka kuoa. na anayekubali huo mkataba ujue amekubali kuolewa. Sasa ni uamuzi wako mwenyewe kama uoe au uolewe Full stop:glasses-nerdy:


Na wewe una mtazamo hasi kama ID yako. Ufanisi wa Lugha umeingiaje hapo??
Tafsiri yako haijajibu swali....rejea swali ujibu kama huna la kuchangia "shut up" ( sauti ya Lowasa )
 
Mbinu ni nyingi tu japo sio lazma zifanikiwe pia
kuna kuacha kitu kimoja kimoja leo pichu, kesho kanga, nguo hatimae zubeda yote unaibwaga geto
kuna kubeba mimba japo hii ni risk sana make kuna kutelekezwa don't try it at home
kuna kujihamishia ukweni kama umekatika mshipa wa aibu lakini na una roho jiwe
kuna kumhonga honga mwanaume pia hii rushwa ya ndoa risk pia make waweza honga kumbe nae anaenda kuhonga

Hahaha "zubeda" ndo kitu gani? Sasa unajihamishia ukweni ndo kuna mumeo kule au?
 
Hahaha "zubeda" ndo kitu gani? Sasa unajihamishia ukweni ndo kuna mumeo kule au?
Oooh kuna watu wanahamiaga ukweni mamy, ila ndo hadi uwe nati iliyolegea kichwani mi siwezi hiyo
zubeda ni ile mifuko ya sulphate ina majina mengi "zubeda" "mjomba kaja" n.k
kwenye movie za kinigeria mwanamke akitimuliwa basi huo mfuko ndo unarushwa nje ha ha ha hope umeujua
 
Mi nimeangalia muda uliopost hii matirio tu baaaas.

Mjadala na uendelee. Maana hautuhusu sisi wazee wa 1947 ambao tuliletewa wake nyumbani na wazazi wetu.

usisahau wale waliopigwa ngwara kwenye migomba wakati wa sikukuu ndio wake hadi leo
 
Oooh kuna watu wanahamiaga ukweni mamy, ila ndo hadi uwe nati iliyolegea kichwani mi siwezi hiyo
zubeda ni ile mifuko ya sulphate ina majina mengi "zubeda" "mjomba kaja" n.k
kwenye movie za kinigeria mwanamke akitimuliwa basi huo mfuko ndo unarushwa nje ha ha ha hope umeujua
Hahaha kumbe ile mifuko ya sulphate mikubwa, wengine wanaitaga "shangazi kaja"

Hao wenye nati zilizolegea wajipeleke tu kwa hao wakwe. Afu bado mwisho wa siku atakuja kuolewa mwingine pamoja na kujibembeleza kwao. Kama ni wa kuolewa utaolewa tu mbona khaaa
 
Hahaha kumbe ile mifuko ya sulphate mikubwa, wengine wanaitaga "shangazi kaja"

Hao wenye nati zilizolegea wajipeleke tu kwa hao wakwe. Afu bado mwisho wa siku atakuja kuolewa mwingine pamoja na kujibembeleza kwao. Kama ni wa kuolewa utaolewa tu mbona khaaa
Naaam hizo hizo mi nazijua kwa jina la zubeda
ha ha ha ndo maana nati zimelegea, ndoa sio kitu cha kulazimisha kabisa
 
Kuna zile mbinu mtoto mlifahamiana night club lakin gafla mabadiliko xxL mara anaimba kwaya....fellowship hakosi...mara na yeye shabiki wa mpira ...huja kaa sawa anakua mwepesi kukuomba msamaha hata kama wewe ndio unakosa...fasta ameshajishusha....geto wkend hakosi dk 0 ameashafua nguo zote ..unyunyu anapulizia ..ful arangement ..msosi anakorofisha..Halalamiki hovyo...hata kama haishi hapo lakin vikao vya majiran na marafiki hakosi.
Story zinakuwa za uwekezaji zaidi ya kula bata...ukitaka kumtoa out anakataa ..anakuadvise ufanye savings ununue kiwanja...wine ananywea ndani while alikua counter hakosi...
Things like these...lets share...hata story kutoka kwa best yako unaweza irusha hapa.
 
Raia wema both Kaka & Dada ni mbinu gani mwanamke anaweza kutumia kushawishi au kushinikiza boyfriend au mchumba wake amuoe?

kama ww ni binti nakushauri toa kisoda asubuhi jioni utasikia mshenga kaongoza njia kwenda kwa wazazi kulipa hela na ndoa motomoto in 2 weeks time ..
 
Back
Top Bottom