miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,110
tegesha mimba ukafie mbele
Mbinu ya ulaghai, ya kukuweka wewe kwanza kwenye kila kitu na kukuaminisha hakuna mwingine kama wewe. Ila unajua wanao olewa au oa ni wale ambao hata walikuwa hawana habari na mipangi hiyo.
Bila kusahau safari za kwa babu. Hii ndio latest kwa sasa. Ukisha mweka ndani ndio unashangaa hivi ilikuwaje nikamwoa huyu mwanamke...Ndumba hatari
tegesha mimba ukafie mbele
Hahahaaaa!!
Na Zawadi kwa wakwe...mixa gunia la mchele, Kitenge....hapo utamweleza nn bi mkubwa ukimwacha huyo binti??
mimi mbinu zangu hakuana atakaye weza iiplay hata kidogo.......Mchango mzuri ila hii mbinu hata house girls wanazo....tupia mbinu za akili...za madada wenye hadhi yako wanavyofanya.
Raia wema both Kaka & Dada ni mbinu gani mwanamke anaweza kutumia kushawishi au kushinikiza boyfriend au mchumba wake amuoe?
mbona mnapenda kumnyasanyasa nuhu mziwanda...nuhu mziwanda ndo defination ya mahaba ujue lolMmmh hao wanaume wa kulazimishwa wako wapi na unaanzaje kwa mfano? Labda uwe na baby boy kama nuhu mziwanda ndo utamlazimisha
Hahahaah ndiyo ana mahaba Sana kwa "gelo friend"wake. Mtu mwenye mahaba kama nuhu, ukimlazimisha akuoe wala hakatai etimbona mnapenda kumnyasanyasa nuhu mziwanda...nuhu mziwanda ndo defination ya mahaba ujue lol
Mbinu ni nyingi tu japo sio lazma zifanikiwe pia
kuna kuacha kitu kimoja kimoja leo pichu, kesho kanga, nguo hatimae zubeda yote unaibwaga geto
kuna kubeba mimba japo hii ni risk sana make kuna kutelekezwa don't try it at home
kuna kujihamishia ukweni kama umekatika mshipa wa aibu lakini na una roho jiwe
kuna kumhonga honga mwanaume pia hii rushwa ya ndoa risk pia make waweza honga kumbe nae anaenda kuhonga
uoni raha kuwa na mwanaume kama huyo..akikataa unamdundaHahahaah ndiyo ana mahaba Sana kwa "gelo friend"wake. Mtu mwenye mahaba kama nuhu, ukimlazimisha akuoe wala hakatai eti
Dah demu wangu mm hataki kabisa kwenda nyumban Kwa wazee wangu na cjui Kwa nn?
Ila ana ujauzito Wang so na kwao cjaenda na yy hana wasi wasi na mm.
Hapana kwa kweli, kuwa na "mvulana" nayemcontrol kama mwanangu Sitaki. Naanzaje kumpiga mume wangu khaaauoni raha kuwa na mwanaume kama huyo..akikataa unamdunda