Recent content by danymuta

  1. D

    2015 nchi haina mgombea Urais, isipokuwa

    Hv kuna watanzania wanafikiri kwamba CCM ITAKOSA KUINGIA IKULU 2015, kutokana na aina ya mgombea atakayesimamishwa na chama hicho? Labda itokee Makundi ndani ya CCM yanayoutaka urais yakimeguka kutoka CCM na kujiunga na Vyama vingine! Lakn hali ilivyo mtu anayeweza kuiyumbisha CCM ni Lowasa tu...
  2. D

    Tetesi: Kweli Tutafika kwa mtindo huu!!

    Ni kweli Kikwete kafanya haya, lakini ulinganishe kodi iliyokuwa ikikusanywa enzi za Mkapa kwa mwez na mambo aliyofanya Mkapa, kisha linganisha makusanyo ya kodi kwa mwezi wakati huu wa Kikwete na hayo unayosema kafanya, Nenda kwa Mwinyi na Nyerere fanya ulinganifu huo huo! Alafu linagnisha...
  3. D

    Tetesi: Kweli Tutafika kwa mtindo huu!!

    Lakini una point maana nasikia huko kwneye Halmashauri pesa zikishafika wakurugenzi wanazifanya kama za kwao binafsi wanazitafuna weee!!!! Acha kubwabwaja maneno, kwanza siku hizi halmashauri zimekauka, fuatilia ujue,kilichopo sasa hivi ni kuleta hela za kulipa mishahara, miradi ya maendelo...
  4. D

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Hao walioachwa walikuwa na sifa kuliko hawa walioteuliwa? Acha upu......! Subirini matokeo, na hata km wakishndwa kudeliver tutawajudge kwa performance na si kwa kabila zao!
  5. D

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Wewe tatzo lako ni wahaya au unataka kuona soka la Tz likiwa juu. sasa km hao wahaya wanaweza kulipaisha soka le2 siwaache tu! We na Eddo nyote ni mapu.........!
  6. D

    Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

    [QUOTE 1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe. Mi nakushauri usiendelee kujibizana na wale unaoamini ni wafitini, endelea na kazi zako, usimwogope mtu, labda Mungu tu, ndo hakimu! Haya yote yana mwisho! Kila mtu ataubeba msalaba wake! Its is the question...
  7. D

    Taarifa ya CHADEMA Chunya, Mbeya: Aliyepokelewa na Kinana hakuwa Katibu wetu

    Mkuki mtamu kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, zamu yenu chadema , wakti CCM ilipokuwa ikitolokwa na wanachama na viongozi wake wakiamia Chadema, CCM ilikuwa ikisema si wanachama au walishafukuzwa1 Naona na chadema wameiga stahili hiyo! CDM mmelikoroga wenyewe,lazima mlinywe, uwezo wa kwenda...
  8. D

    Natangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Kwimba 2015 kupitia CHADEMA

    Dogo acha utapeli, hujui kwanza pesa za mfuko wa jimbo zinatumikaji, kumbuka si kwa matakwa ya mbunge! Ipo sheria ya mfuko wa jimbo! Isitoshe hayo mengine unayosema ni uzembe wa madiwani wa ,aeneo husika plus mbunge, kimsingi ubunge si nafasi ya kumtetea mwananchi ni ulaji, alafu hakuna mradi...
  9. D

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    " waswahili husema: ukiwa mnafiki wakati wa ujana wako, ukizeeka, utakuwa mchawi" Ndo haya ya huyu Saa tisa! cjui kanogewa kiasi gani na penzi la mbowe?
  10. D

    Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

    Hawa Chadema ni mbulula kabisaaa! Haiwezekani tukaendelea kuhubiri watu kwamba wasichangie maendeleo yao, yaani wanachi wazae tu, serikali isomeshe, iondoe karo, michango, daftari itoe bure, peni bure! After all what is serikali km si kila mwanachi? Huu ni uenda wazimu, dhana ya shule za umma...
  11. D

    Mwenye taarifa huko serikalini jamani mshahara wa mwezi nov kimya!

    Pole sana! Ndo majanga hayo ya kuweka matumaini yote kwenye mshahara, siku serikali ikifilisika, utaisikilizia!
  12. D

    Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

    Kwanza mpaka sasa hvi CHADEMA haiko na kamwe haitkuwa salama tena, mpasuko mkubwa unakuja, labda mbowe, slaa, zito na wapambe wao, wote wachie madraka, waje viongozi ambao ni neutral! Make pamoja na madhaifu ya ZZK bado kuna hoja za msingi zinazoelezea udhaifu na ufisadi wa mbowe na Slaa ndani...
  13. D

    Donors want Tanzania to hand back stolen aid millions

    Sasa hapo nani jinga?
  14. D

    UDOM kwa hili to much sasa

    Fani zenyewe zimepitwa na wakati alafu muwatishe madent na kukeli, waacheni waingie mtaani wachakalike bwn!
  15. D

    Mipango hatari ya Mwigulu na Emmanuel Nchimbi dhidi ya CHADEMA,wahusika toeni ufafanuzi kuhusu hili

    Acheni kueneza chuki kwa lengo la kupata umaarufu, mtakuja kulitia taifa katika vita itakayogharimu maisha ya wasiokuw na hatia! Kama hamna cha kufanya ni bora mwende magereza mkapewe kazi!
Back
Top Bottom