Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyuduchi:hapa Mzee Mkapa anaingiaje?hata hivyo mtu mwenye akili timamu hawezi kumlinganisha MKAPA NA KIKWETE
Kwanza hongera kwa kukusanya mara mbili zaidi ya Serikali ya Mkapa.
Pili pesa zinakwenda kwenye miradi mikubwa ya barabara na grsi ambayo miaka michache ijayo itakuwa ni mkombozi wetu
duchi:hapa Mzee Mkapa anaingiaje?hata hivyo mtu mwenye akili timamu hawezi kumlinganisha MKAPA NA KIKWETE
Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyu
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini nk.
Lakini una point maana nasikia huko kwneye Halmashauri pesa zikishafika wakurugenzi wanazifanya kama za kwao binafsi wanazitafuna weee!!!!
800 bilioni ni pesa ndogo sana kwa nchi yenye watu 45 million.
kwa wastani kila mwananchi anachangia 18,000 kwa mwezi kama kodi,hii inaonyesha bado tax base yetu tanzania ni ndogo sana,ndio maaana rais anahaa kutafuta misaada kwa wahisani.
Tukiepuka anasa za mashangingi na semina hewa zisizo na tija, hizo pesa zinatosha.Bilion 800,hiyo hela haitoshi .
Kwanza hongera kwa kukusanya mara mbili zaidi ya Serikali ya Mkapa.
Pili pesa zinakwenda kwenye miradi mikubwa ya barabara na grsi ambayo miaka michache ijayo itakuwa ni mkombozi wetu
Bilioni 800 ukajenge Barabara, ulipe mishahara ya walimu, ulipe madaktari, ulipe polisi, wanajeshi, wabunge,halmashauri, ulipe madeni nje, mashirika kimataifa, utoe michango huko kwenye mashirika ambayo sisi wanachama, utoe mikopo ya wanafunzi, ujunge mashule, vyuo, nk
Lakini una point maana nasikia huko kwneye Halmashauri pesa zikishafika wakurugenzi wanazifanya kama za kwao binafsi wanazitafuna weee!!!!
Bilioni 800 ukajenge Barabara, ulipe mishahara ya walimu, ulipe madaktari, ulipe polisi, wanajeshi, wabunge,halmashauri, ulipe madeni nje, mashirika kimataifa, utoe michango huko kwenye mashirika ambayo sisi wanachama, utoe mikopo ya wanafunzi, ujunge mashule, vyuo, nk
Lakini una point maana nasikia huko kwneye Halmashauri pesa zikishafika wakurugenzi wanazifanya kama za kwao binafsi wanazitafuna weee!!!!
Kwanza hongera kwa kukusanya mara mbili zaidi ya Serikali ya Mkapa.
Pili pesa zinakwenda kwenye miradi mikubwa ya barabara na grsi ambayo miaka michache ijayo itakuwa ni mkombozi wetu
800 bilioni ni pesa ndogo sana kwa nchi yenye watu 45 million.
kwa wastani kila mwananchi anachangia 18,000 kwa mwezi kama kodi,hii inaonyesha bado tax base yetu tanzania ni ndogo sana,ndio maaana rais anahaa kutafuta misaada kwa wahisani.
duchi:hapa Mzee Mkapa anaingiaje?hata hivyo mtu mwenye akili timamu hawezi kumlinganisha MKAPA NA KIKWETE
duchi:Mkapa alitumia pesa alizokusanya kujenga maendeleo na pesa ilikuwa na thamani mdogo wangu,JK miradi yote ya maendeleo ni mikopo.KAMA WEWE MFATILIAJI TANZANIA TUNADAIWA KIASI GANI?KUKMBUKA MKAPA ALIFUTA MADENI YOTE.
duchi:KABLA HUJAANDIKA SHUGHULISHA AKILI YAKO
Ni kweli Mwl. Nyerere alijitahidi sana lakini bado nikikumbuka haya machache yafuatayo kati ya mengi nasikia machungu sana.Ni kweli Kikwete kafanya haya, lakini ulinganishe kodi iliyokuwa ikikusanywa enzi za Mkapa kwa mwez na mambo aliyofanya Mkapa, kisha linganisha makusanyo ya kodi kwa mwezi wakati huu wa Kikwete na hayo unayosema kafanya, Nenda kwa Mwinyi na Nyerere fanya ulinganifu huo huo! Alafu linagnisha mapato hayo kwa awamu zote hizi na matumizi yale yaliyoenda kwenye miradi ya wananchi na yale ya yaliyoenda kwenye matumizi ya kawaida ya serikali! Nafikiri wote walifanya vizuri,lakini Nyerere alifanya vizuri zaidi!