Kwema wakuu, Kuna mdau ame weka qualification ya advanced diploma kwa makosa huku yeye ana diploma, hivyo hawezi kuomba kazi za diploma lakini pia hawezi kuomba kazi za advanced diploma maana cheti hakimruhusu. Hii issue inatatuliwa vipi Ili qualification yake isome diploma maana huwezi edit...
Tarehe sio issue kiongozi, placement nyingi za PSRS zinaanzia wiki tatu baada ya oral. Hapo kila mtu na bahati yake, wengine watapata placement baada ya wiki hizo tatu, wengine mwezi mmoja, miezi miwili na wengine mpaka mwaka au mwaka na zaidi. Uvumilivu ndio kila kitu, kama ipo ipo tu.
App sasa hv Ina changamoto, hata baadhi ya new applications(received )haioneshi kabisa.
Cha muhimu jiamini, kama web inaonesha selected for oral kuwa mvumilivu, incase utapata placement itaonekana hapo.
Ndio mtaalam, kufaulu written kwa marks za juu sio guarantee ya kupata placement. Marks za written zinaishia kwenye hio hatua ya awali(mchujo).
Unaweza pata 98 written afu oral ukaboronga imekula kwako hiyo, afu mwenye 50 written oral akafanya vzr analamba asali. Ila kwa wale wenye practical...
written ni mtihani wa mchujo tu,lengo ni kupunguza idadi ya wasailiwa na Haina weight yoyote kwenye matokeo ya jumla. Siku unayomaliza written na ukawa selected for oral unaanza upya kabisa.
Sio lazima uingie kwenye account kila muda, Huko ni kupoteza muda. Unaweza ukaingia twice a day, unacheki asubuhi na jioni inatosha kabisa. Muda mwingine focus na mambo Yako mengine.
Ndio mtaalam, placement zote zinaanzia kwenye account, barua inakuwa uploaded kwanza. Mkeka ndio unafuata...either siku hiyo hiyo au kesho yake.
Japo ilitokea siku moja kwa baadhi ya watu placement kwenye account ilifanyika ijumaa na pdf ikatoka jumanne ya wiki iliyofuata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.