Recent content by Danken Mbombo

  1. Danken Mbombo

    Gharama matibabu Ndugai yazua jambo. Alitumia zaidi ya Dola Milioni 12

    Gharama ya matibabu ya Tundu Lisu kuanzia Kenya hadi Ubelgiji itakuwa imefikia USD 12 M ?
  2. Danken Mbombo

    Tanzania taifa lenye utakaso

    Huo ni mtizamo wako Kibunange, lakini kwa maoni yangu Tanzania haikufuta LAANA bali ilijitafutia LAANA yenyewe kwa kitendo cha kutaifisha mali za wawekezaji. Kutaifisha mali ya mtu pasipo kosa nii DHULUMA, ni tendo lisilo la haki, ni tendo la uonevu na ni ukatili. Mwenyezi Mungu kakataza na...
  3. Danken Mbombo

    Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

    Bila kujali ni daktar, ni mhandisi au ni mwalimu... anacholipwa mfanyakazi wa Tanzania kina sifa ya kuitwa mshahara?...kina mwezesha kuishi?...
  4. Danken Mbombo

    Mawaziri wapya wanatuchelewesha tunakotaka kufika

    Ndungu soma vizuri hoja uielewe...
  5. Danken Mbombo

    Kikao cha siri kisichojulikana na watu wasiojulikana Magufuli kuwa Rais

    Naunga mkono hoja yako kwa asilimia 100, ila najiuliza itakuwaje baada ya kumaliza muda wake. Wasiojulikana watatuletea nani.?..watalamba dume kama hili au galasa..?
  6. Danken Mbombo

    Spika Ndugai aishangaa serikali kusitisha ujenzi Bandari Bagamoyo

    Ngoja kwanza tuhamie Dodoma, tufufue Air Tanzania, tujenge SGR, Airport - Chato, Umeme wa Stiegler:s Gorge n.k muwe na subira.....
  7. Danken Mbombo

    Wadau uonevu sasa umetosha; tuundeni vigilante kupambana na wasiojulikana!

    Yaani, ni Tanzania pekee ndiyo ina watu wa ajabu Duniani. Watanzania hawawezi kuukataa ubaya wa aina yoyote.
  8. Danken Mbombo

    Bado kidogo, tunakaribia kufika Sudan

    Ni kweli.....ipo tofauti kubwa kati ya binadamu na ma-nyumbu
  9. Danken Mbombo

    Tanzania yakamata nafasi 10 nchi zenye amani Afrika

    DRC, Burundi wakiwa katika hali ngumu inatuhusu nini, kwanza ndiyo tunapiga hela kwa kuuza mahindi
  10. Danken Mbombo

    Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

    alifanya kazi chini ya uangalizi wa wazungu, majority share holder wa CRDB ni wazungu
  11. Danken Mbombo

    Uchaguzi Mkuu 2020 : Mbowe , Mdee, Lema , Kubenea, Sugu , Lijualikali, Selasini, Lisu, Nasari, Msigwa, Heche, Bulaya ,Matiko watafute kazi za kufanya

    Tatizo kubwa la Watanzania ni uelewa mdogo sana (Very low IQ) kuanzia wa-STD seven hadi ma-professor wote wana tatizo hilo hilo. Mtoa mada kwa sababu ya uelewa wako mdogo, huelewi maana ya vyama vya upinzani na kazi zake. Marekani ni nchi iliyo na maendeleo katika kila nyanja, lakini kuna vyama...
  12. Danken Mbombo

    Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

    Ni kampuni gani inayoongozwa na mwajiliwa Mtanzania inafanya vizuri?
  13. Danken Mbombo

    Kardinali awaambia polisi kugoma amri ya serikali inapowatuma kuua wananchi

    Nilifikiri ni huyu kadinali wetu.......ningeshangaa sana..
  14. Danken Mbombo

    JPM kiboko, walinzi wa kampuni binafsi wengi wana shahada ya kwanza na wengine ya pili licha ya maslahi ndogo. Sasa kuchagua kazi hakupo tena.

    Mwenye degree ya sheria, HR , engineer au finance anaongezaje skills au experience kutoka kwenye kazi ya ulinzi..Au yanakutoka tu kwa vile umeshiba hivyo humjui mwenye njaa
Back
Top Bottom