SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Kardinali Bartazar Porras amewahimiza askari wa nchini mwake, Venezuela kugoma wanapotumwa na serikali kutumia silaha za kuua kwa wananchi.
Amesema kazi ya askari ni kulinda wananchi na si kulinda serikali. Kwamba kila amri inayistahili utii ni ile ya kulinda wananchi na si ya kuua.
Kardinali Porras anasema kugoma huko kunaitwa "civil disobedience" ambayo ni haki ya kila askari duniani kugoma kutii amri haramu za serikali.
Kardinali Porras amesema hayo kukiwa na hali ya maandamano ya wananchi kila leo tangu Rais wa sasa aingie madarakani mwaka 2013.
NB:
Je, anachokisema kikoje katika nchi zingine?
SOURCE:
Civil disobedience is a fundamental right, says Venezuelan cardinal
Amesema kazi ya askari ni kulinda wananchi na si kulinda serikali. Kwamba kila amri inayistahili utii ni ile ya kulinda wananchi na si ya kuua.
Kardinali Porras anasema kugoma huko kunaitwa "civil disobedience" ambayo ni haki ya kila askari duniani kugoma kutii amri haramu za serikali.
Kardinali Porras amesema hayo kukiwa na hali ya maandamano ya wananchi kila leo tangu Rais wa sasa aingie madarakani mwaka 2013.
NB:
Je, anachokisema kikoje katika nchi zingine?
SOURCE:
Civil disobedience is a fundamental right, says Venezuelan cardinal