Master23
Member
- Mar 26, 2019
- 50
- 56
Sawa!ila wakimalizana na hao ulowataja watarudi kwenu wenyewe,niamini mimi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
We have to work hard and think positive. Unless we're going to be slaves of the nation. Napitanga saa hii alasiriVijana kuna mahali tunakoseaView attachment 1042063
Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsi unavyoongea tu unaonekana wewe ni mlala hoi.Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal nikuulize swali .Naunga mkono hoja, japo ni mchungu lakini huu ndio ukweli wenyewe.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
https://www.jamiiforums.com/threads...wa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/Pascal nikuulize swali .
Hao jamaa watapoteza ubunge wao kwa sababu wananchi hawawatakii au kwa sababu dola haiwataki ??!!. Na kama ni wananchi nani ana maamuzi ya wananchi ?! NEC !!. Na kama ni Dola ni kwa faida ya nani ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hayo makelele wanapigia kwa mkeo wakati wako lumande,ccm hoyeMaendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa la Watanzania ni uelewa mdogo sana (Very low IQ) kuanzia wa-STD seven hadi ma-professor wote wana tatizo hilo hilo. Mtoa mada kwa sababu ya uelewa wako mdogo, huelewi maana ya vyama vya upinzani na kazi zake. Marekani ni nchi iliyo na maendeleo katika kila nyanja, lakini kuna vyama vya upinzani vinakosoa penye makosaMaendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi watapita na nnahisi upinzani utaongeza idadi bungeni na hatimae kuwa na wabunge zaidi kuliko chama tawala na pengine kuwa na Rais kutokea upinzani.
Wao wataamini hili?
Na yeye mwenye, siyo muda, Hivi punde tu atavuliwa kyupi!😂😂😂🙌🏾🙌🏾🏃🏾♂️🏃🏾♂️Mwambie mama yako atafte kaz ya kufanya sio hao uliowataja.
Mh. Job Ndugai. Kilangila.Panapo uwanja sawa wa mapambano, hizo kwako ni ndoto za alinacha. Halafu ndugu, nikuulize kama hoja ni kubaki jimboni all the time, niambie ni mbunge gani ambaye amebaki jimboni kwake na jimbo lake lina maendeleo kushinda mengine?
Sugu atakuwa anasimamia gesti yake kule mbeya.Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu!
Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi.
Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua wapinzani ( Wabunge , Madiwani ) kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Sioni ambacho wapinzani wamekifanya kwenye majimbo yao. Labda unieleze!
Kwanza hawakai majimboni.Kila siku wapo Dar.
Mbowe yeye ni Dar tu, Hai sijui kamwachia nani.
2020 twende na CCM, twende na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app