JPM kiboko, walinzi wa kampuni binafsi wengi wana shahada ya kwanza na wengine ya pili licha ya maslahi ndogo. Sasa kuchagua kazi hakupo tena.

Sidhani kama ni kitu cha kushabikia kabisa, serikali gani inashindwa kuajiri? kupandisha mishahara? Hili ni bomu kama mabomu mengine tu, linasubiri kulipuka tu...
 
Binafsi mimi si mshabiki wa Magufuli 100% ila kuna wakati namuunga mkono 100% kwa maamuzi anayoyafanya.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.
Kwa hiyo wewe unachekelea watu kutumika kinyume na maumbile sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi mimi si mshabiki wa Magufuli 100% ila kuna wakati namuunga mkono 100% kwa maamuzi anayoyafanya.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.
Naamini wewe ndio mjinga kabisa, nilidhani ungesema raisi ameshindwa kuwapa vijana ajira kinyume na ahadi zake, ukiona mtu na elimu yake ameanza kufanya kazi ambazo wala hajazisomea basi kuna tatizo la msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi mimi si mshabiki wa Magufuli 100% ila kuna wakati namuunga mkono 100% kwa maamuzi anayoyafanya.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.
Hapa ndio utajua kweli mtanzania 1 kati ya 4 ni taahira.

Mashabiki wa Magufoo.l ni vijiwatu fulani vijinga, roho za korosho, havina elimu, vikaa uswazi na vidaku.

Ni aina ya vijitu vinavyochekelea boss fulani katumbuliwa na Magu anasota tumefanana, watumishi hawajapewa mishahara wanaisoma, Tundu lissu kapigwa risasi Magu kiboko ?!!!, Mbowe ananyea debe. Vijitu koko
 
Hakuna ujinga mkubwa kama kushabikia ujinga mwisho wa siku mtaitwa wapuuzi. Kwahiyo mnafurahia shida kisa ndugu zenu wamesoma na bado ni walinzi???
 
Ndio maana kila siku huwa ninasema sisi waafrika tuna matatizo yaani unafurahia mtu kwenye elimu ya juu kiasi kile kuwa mlinzi kweli?harafu mkienda Dubai,Qtar,Saudia,marekani,na ulaya mkadharauliwa kwa sababu ya upumbavu mlio nao muanze kusema wazungu na warabu wana roho mbaya.kama unashangilia muafrika mwenzako aliye poteza muda na pesa kwa ajili ya kutafuta elimu kuwa mlinzi unategemea muarabu na mzungu atakuthamini kwa lipi?hivi mtu mwenye elimu kama huyo anafanya kazi ya ulinzi unategemea taifa litafaidika vipi na elimu aliyonayo?jamani waafrika ifikie hatua tubadirike tuwaze mambo ambayo yatalitoa bara letu kwenye umasikini ulio kithiri badala ya kuwa tunawaza upumbavu.
 
Tatizo naloliona mimi si msomi kama huyo kuajiriwa kama mlinzi tatizo hapo ni makampuni yetu haya ya ulinzi yaongeze mshahara kwa wafanyakazi wake. kwani kazi za ulinzi ni ngumu na wao huchukua fedha nyingi kutoka kwa maboss.
Kwa kuongeza mishahara na vifaa vya kisasa vya kiulinzi hii kasumba kama uliyo leta wewe ya kuona kazi ya ulinzi ni kwa ajili ya watu ambao hawajaenda shule itaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo kule ili kujizatiti. A day will come wadai malipo yao halali
Wamejisahaulisha kilicho times uarabuni yule msomi aliejichoma Moto na movement ikaanzia apo hadi kupelekea machafuko na raisi kuachia ngazi, mjazeni ujinga mtukufu anko na nyimbo wenu.
 
We jamaa , so you are happy. Rubbish ideas and stupid mindset!

Very stupid indeed! Yaaan badala uchumi uzalishe ajira na watu watumie utaalamu kuendeleza nchi, jamaa na upumbavu wake anafurahia serikali kusomesha watu ngazi ya shahada wakawe walinzi. Mimi suala la analipwa kiasi gani siyo ishu ila anatumiaje utaalamu wake kuchagiza maendeleo ndo ttz langu. No wonder tuko nyuma sababu ya stupid mindset kama hizi.
 
Ulipaswa kusikitika mkuu " nasio kufurahia ...otherwise hilo litaonyesha kuwa hauko sawa upstairs

Elimu ni uwekezaji kama ulivyo uwekezaji mwingine wowote vile " Ukiona wasomi wa taifa husika wanakosa kazi na kufikia hatua ya kufanya kazi za chini kabisa tena kazi ambazo hazifanani na field ambazo wame somea " unapaswa kusikitika ..kwa sababu uwekezaji ambao waliufanya ambao ni wa elimu utakuwa haujawalipa so kwanamna moja ama nyingine tunaweza kusema kwamba wamepata hasara " ..... wasomi wakipata hasara .nchi na serikali vyote kwa ujumla vinakuwa vimepata hasara pia " .... kwa sababu ule ujuzi ambao muhitimu ambao anao unaishia kubaki katika kichwa chake tu na sio katika utendaji kama ambavyo inavyo takiwa " .utendaji wake ungeweza kutatua changamoto mbali mbali katika jamii nchi jamii ingenufaika na serikali pia ingekuwa imepata watu wakutatua changamoto ambazo zina izunguka jamii yake ..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo naloliona mimi si msomi kama huyo kuajiriwa kama mlinzi tatizo hapo ni makampuni yetu haya ya ulinzi yaongeze mshahara kwa wafanyakazi wake. kwani kazi za ulinzi ni ngumu na wao huchukua fedha nyingi kutoka kwa maboss.
Kwa kuongeza mishahara na vifaa vya kisasa vya kiulinzi hii kasumba kama uliyo leta wewe ya kuona kazi ya ulinzi ni kwa ajili ya watu ambao hawajaenda shule itaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kima cha chini cha mshahara wa Serikali ni Tsh 150,000, sasa wao wanapomlipa Tsh 280,000 unawalalamikia wao ??
 
Binafsi mimi si mshabiki wa Magufuli 100% ila kuna wakati namuunga mkono 100% kwa maamuzi anayoyafanya.
Kuna mjamaa yangu ana bachelor ya sheria yuko kampuni ya Warrior kama mlinzi wa kawaida. Nilipomwoji anajisikiaje kulipwa 300,000 na elimu yake akasema sasa afanyeje ? Yeye ni dog handler kaniambia kuna wengine wana elimu kama au zaidi yake wanalipwa 280,000 take home, tena wako wengi.
Magufuli kaondoa ujinga na mazoea kwa watu wengi, naamini watu wengi watafunguka akili zaidi na kujitafutia njia mbadala za kujiingizia kipato zaidi ya kile ambacho angekipata kama angeajiriwa.
Una akili sana ila huna akili kabisaaaaaaaaa pumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio vibaya kwasababu baadae bado wataweza kupata kazi wanazozifanya tena wakiwa na skills zaidi na zaidi. Wanaongeza kwenye CV zao kwa mazuri ya baadae.
Mwenye degree ya sheria, HR , engineer au finance anaongezaje skills au experience kutoka kwenye kazi ya ulinzi..Au yanakutoka tu kwa vile umeshiba hivyo humjui mwenye njaa
 
Back
Top Bottom