Kuna sehem nimesoma wadau wanasema kioo ni sawa na Cctv camera inachukua matukio yote ya ndani kwako uliokuwa unafanya, mipango yako n.k sasa wachawi wakija cha kwanza wanaangalia kwenye kikoo mipango yako yote na kila kitu kwhy inawapa wao kazi rahisi sana kukururga na kuharibu mipango yako kwa...
Kwanza Pole sana
nilichochogundua kuwa wewe ni mtumishi wa Umma na ndo maana Huyo manager amesema arakushitak kwa mkurugenzi wako
Kwa ushauri wangu kwenye kutafuta haki usiogope wala nini anza kwanza kwa huyo mkurugenzi wako muelezee na HR manager wako.
pia omba kuhama bank ya kupokea...
Jamaa ametuangusha sana ilitakiwa akupe talaka ukiwa muhimbili unatibiwa MOI unatibiwa mifupa, Yan ilitakiwa akuache kilema kabisa ili owe fundisho kwa mbuzi wengine kama wewe
Hivi wenye fani huko huwa wanafavour gani tofaut na wasio na fani...Mfano hayo mazoez ya utayar ni police wote hadi wenye fani au wenye fani wataendelea na kazi zao kulingana na fani zao??
Nilichogundua kwa hawa jamaa ni kwamba ukiweka pesa kubwa kuanzia lako haitoki wanakwambia mara mtandao au unaweza kutoa ila mara moja alaf baada ya hapo utaambiwa baada ya siku 30 ndo utoe hela ujue ndo imetoka hapo😁😁
Niliweka buku tano baada ya siku 2 nikakuta 9000 nikachomoa kuhela changu nikaacha buku 2 baada ya siku kadhaa nikakuta 6000 nimetoa nimewachia buku naisubiri ifike buku tano niruke nao😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.