Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,985
- 27,609
Maneno ya kuwafariji maskini choka mbaya kama wewe, ili muendelee kujifariji na ukapuku wenu.LUKA 4:5
Kisha shetani akamchukua hadi juu ya mlima mrefu akamwo nyesha kwa mara moja milki zote za dunia. 6-7 Akamwambia, “Uki piga magoti na kuniabudu, nitakupa uwezo juu ya milki zote hizi na fahari yake; maana ni zangu na ninaweza kumpa ye yote nita kaye.” 8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.’ ”