Xasa wote wakijiajili na je yale makampuni,au mashirika vikiwemo viwanda c vitakosa kazi na uzarishaji utapungua nchini.coz me najua kuwa zipo kazi nyingi tu zinazo hitaji waajili...... Mi naona kuajiliwa sio kitu kibaya... .pia unaweza ukaajiliwa na uku ukajiajili......HAYO NDO MAISHA YA MUJINI,
Sasa ao wanaume wa kikenya watamuona nani kama wanawake wote watawakataaaa.....?mi nahisi mapenzi ni hisiA,coz hata hapa bongo wapo wanawake wanaishi na wanaumewao kila siku kipigo but bado wanaendelea kukaa na hao wanaume wao.......keep on ur mind +((LOVE IS FEELING OF SOMEONE TO SOMEONE )))new...
Pole sana kwa hilo la rafiki yako....ushaur wangu ni vema mngempeleka kwenye makanisa au misikitini pia uenda kwel kalogwa coz hawa watu sio watu....pia ungeenda katika mahospitali makubwa ambayo wapo wanadaikolojia walio bobea ungeweza pata msaada zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.